Abul Aaliyah
JF-Expert Member
- Nov 8, 2016
- 7,718
- 5,899
Hahaaaa
Huyo ni zoba hivyo hawezi kuuficha huo uzoba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo ni zoba hivyo hawezi kuuficha huo uzoba
Bungeni kuna vyama vitatu CCM, Bawacha na ACT wazalendo by Ndugai
Asante kwa kuelewa
Gts,
Inasikitisha sana tena sana jamii inapoendelea kupotosha kauli ya Rais juu daktari aliyegeuka mkataba.
Wizara ya afya toeni ufafanuzi.
Inavyofahamika, ukiwa kazini halafu ukasomeshwa na Serikali huwa kuna mkataba wa kufanya kazi Serikalini kwa muda maalumu baada ya hapo mhusika huwa huru.
Hivyo tamko la Rais lipo sahihi.
Huyu Dr nikwamba kasomeshwa na serikali au kapewa mkopo na serikali...mm nimmoja wa wanufaika wa mkopo ila sijawai saini mkataba kama huo....hebu anaejua atueleze hapa kuwa huyu Dr alipewa grant na serikali au mkopo 100% ambao nilazima aulipe awe serikalin au privateGts,
Inasikitisha sana tena sana jamii inapoendelea kupotosha kauli ya Rais juu daktari aliyegeuka mkataba.
Wizara ya afya toeni ufafanuzi.
Inavyofahamika, ukiwa kazini halafu ukasomeshwa na Serikali huwa kuna mkataba wa kufanya kazi Serikalini kwa muda maalumu baada ya hapo mhusika huwa huru.
Hivyo tamko la Rais lipo sahihi.
Mkuu kama huyo Daktari alimaliza muda wake kisheria nadhani yuko sahihi. Nilidhani unajua muda aliofanya kazi baada ya shule na kabla ya kuhamaMkuu uwe na heshima na mwenyekiti wetu, mbona nyie tunawaheshimu.
Kuna mkataba kwa madaktari walioajiliwa serikalini wanaojiendeleza na masters kupitia ufadhili wa serikali wakimaliza wanatakiwa kurudi kazini au kupangiwa kituo kingine Cha kazi kwa miaka 2.Pumbavu kabisa, hiyo umeipata katika sheria au kanuni gani?
Mkataba wa kufanya kazi serikalini kwa miaka mitano ndipo muhusika awe huru ulikuwepo wakati inasomesha watu bure na kuajiri wahitimu wote. Hivi sasa watu wanalipa ada ama kwa fedha zao au mikopo.
Hivyo wizara haina majibu wala hoja ya kufafanua.
Kama ulienda kusoma ukiwa mtumishi wa umma, mkataba unakufunga na uko wazi. Muda wote unapokuwa shule kumbuka serikali inakulipa mshahara. Tatizo hatujui alikuwa ameshafanya kazi kwa muda gani baada ya shuleHebu tupate kwanza tafsiri ya "kusomeshwa na serikali" ni ipi...
Je, ina maana ya kupewa mkopo kwa 100% ndo tafsiri ya kusomeshwa na serikali?
Kama kwa "kukopeshwa" ina maana ya "kusomeshwa na serikali" inawezekanaje pesa hiyo uliyolipiwa na serikali ukasoma iwe ni "mkopo" na mnufaika alazimike kurudisha mkopo huo na wakati huo huo afungwe na masharti ya kufanya kazi ktk taasisi za serikali pekee?
HATA HIVYO;
Hii inawezekana tu kama hawa madaktari bingwa walilipiwa gharama zote za kusoma kwao kwa masharti ya mkataba kuwa watafanya kazi ktk hospitali za serikali pekee kwa muda fulani au ktk maisha yao ya kazi yote...
Kama kuna mkataba Wa namna hii, basi madaktari hao waliokimbia na kwenda kufanya kazi kwenye hospital za binafsi, wamekiuka mkataba. Serikali ina haki ya kuchukua hatua za kisheria....
Lakini kama walisoma kwa mikopo hii hii ya kawaida ya HESLB, basi hawafungwi na sharti lolote la kufanya kazi kwingine....!!
Na pia kuna guarantee ambayo serikali inatakiwa kutoa kwa ye yote ambaye atajiendeleza kupitia ufadhili wa nchi nyingine au mashirika ya kimataifa.Kuna mkataba kwa madaktari walioajiliwa serikalini wanaojiendeleza na masters kupitia ufadhili wa serikali wakimaliza wanatakiwa kurudi kazini au kupangiwa kituo kingine Cha kazi kwa miaka 2.
Jina gani tena wewe kiazi?Cdhan kama mwenye hlo jina ni nguchiro kama ww
Sasa kama unafikiri Magufuli alieleweka kwanini unataka Wizara ifafanue?Gts,
Inasikitisha sana tena sana jamii inapoendelea kupotosha kauli ya Rais juu daktari aliyegeuka mkataba.
Wizara ya afya toeni ufafanuzi.
Inavyofahamika, ukiwa kazini halafu ukasomeshwa na Serikali huwa kuna mkataba wa kufanya kazi Serikalini kwa muda maalumu baada ya hapo mhusika huwa huru.
Hivyo tamko la Rais lipo sahihi.
We umeona wapi huo mkataba ? Mkataba unasema kufanya kazi Tanzania miaka mitano , kwani private ni Burundi ?Gts,
Inasikitisha sana tena sana jamii inapoendelea kupotosha kauli ya Rais juu daktari aliyegeuka mkataba.
Wizara ya afya toeni ufafanuzi.
Inavyofahamika, ukiwa kazini halafu ukasomeshwa na Serikali huwa kuna mkataba wa kufanya kazi Serikalini kwa muda maalumu baada ya hapo mhusika huwa huru.
Hivyo tamko la Rais lipo sahihi.
Jina gani ulikuwa unalizungumzia wewe kiazi mbona haunijibu?Ww ni tumbili
Hili swala linakuzwa sana na Chadema.
Mfano Dr Kigwangalla yeye alisomeshwa na WAMA ndio maana serikali haikushughulika naye.
gharama ya hospitali binafsi na ya serikali kwenye huduma za kibingwa zinafanana? acha uzwazwa...rais anatetea wanyonge wasio weza kumudu gharama za matibabu huko privateHivi wewe mataga hiyo hospital binafsi inahudumia fisi hadi mwenyekititi wako wa ccm anaagiza ifungwe???
Yani bora ukae kimya aisee.
Ni kunguru maji tu ndiyo ataunga mkono maamuzi ya kuifunga hospital binafsi kwasababu daktari ameamua kuacha kazi serikalini na kwenda kwenda kwenye hiyo hospital binafsi.gharama ya hospitali binafsi na ya serikali kwenye huduma za kibingwa zinafanana? acha uzwazwa...rais anatetea wanyonge wasio weza kumudu gharama za matibabu huko private
Mh! Kaka bora kukata kimya tu. Usiongee vitu usivyovijua. Nenda kafanyiwe upasuaji wa figo muhimbili Na Bugando au kCMC halafu ulete mrejesho Kama gharama ni tofauti.gharama ya hospitali binafsi na ya serikali kwenye huduma za kibingwa zinafanana? acha uzwazwa...rais anatetea wanyonge wasio weza kumudu gharama za matibabu huko private