Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
NonsenseTatizo hapo Ufipa mlikuwa na daktari mmoja tu na ameshasajiliwa na CCM yule Dr Mollel!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NonsenseTatizo hapo Ufipa mlikuwa na daktari mmoja tu na ameshasajiliwa na CCM yule Dr Mollel!
Hongera kwa tafsiri. Ila wengi wamelichukua neno kama lilivyotoka kinywani mwa mhusika.Gts,
Inasikitisha sana tena sana jamii inapoendelea kupotosha kauli ya Rais juu daktari aliyegeuka mkataba.
Wizara ya afya toeni ufafanuzi.
Inavyofahamika, ukiwa kazini halafu ukasomeshwa na Serikali huwa kuna mkataba wa kufanya kazi Serikalini kwa muda maalumu baada ya hapo mhusika huwa huru.
Hivyo tamko la Rais lipo sahihi.
Hahahaaaa...... Mbona Bawacha hamkuwazalisha hadi wameolewa na akina Babu Tale kule bungeni!!Chadema imekuzalisha?
Kwani wewe ushajifungua?Hahahaaaa...... Mbona Bawacha hamkuwazalisha hadi wameolewa na akina Babu Tale kule bungeni!!
Wewe na huyo mleta uzi wote machumia tumboHongera kwa tafsiri. Ila wengi wamelichukua neno kama lilivyotoka kinywani mwa mhusika.
Hakuna muda wa kukosoa vibovuMENGELENI KWETU kosoa hoja.
Mzalendo wa tumbo lako,dadeekiMkuu mimi ni mzalendo, sihitaji fadhila, hii ndiyo kazi yetu kuwaelewesha msioelewa
Bungeni kuna vyama vitatu CCM, Bawacha na ACT wazalendo by NdugaiKwani wewe ushajifungua?
Litakuwa sahihi kama daktari alikuwa ndani ya mkataba vinginevyo ni batiliGts,
Inasikitisha sana tena sana jamii inapoendelea kupotosha kauli ya Rais juu daktari aliyegeuka mkataba.
Wizara ya afya toeni ufafanuzi.
Inavyofahamika, ukiwa kazini halafu ukasomeshwa na Serikali huwa kuna mkataba wa kufanya kazi Serikalini kwa muda maalumu baada ya hapo mhusika huwa huru.
Hivyo tamko la Rais lipo sahihi.
Polepole mkuu maswali mengine yanatuumiza wasomajiHao wasomi waliomaliza vyuo na wako hawana kazi mkataba wao na Serikali utaanza lini?
Njaa mnaivalia vibwaya hadi mnatetea yasiyo na sifa ya kuteteaHapana ni uzalendo halisia
Akili zako zipo na leakage pahalaBungeni kuna vyama vitatu CCM, Bawacha na ACT wazalendo by Ndugai
Wakifanyiwa mema hawasemi kazi kupotosha na kuponda serikali kila siku ila naamini wamekuelewa Mkuu.
Mkuu mimi ni mzalendo, sihitaji fadhila, hii ndiyo kazi yetu kuwaelewesha msioelewa