Upotoshaji wa Kauli ya Rais Ukomeshwe. Wizara ya Afya Toeni ufafanuzi

Upotoshaji wa Kauli ya Rais Ukomeshwe. Wizara ya Afya Toeni ufafanuzi

Gts,

Inasikitisha sana tena sana jamii inapoendelea kupotosha kauli ya rais juu daktari aliyekeuka mkataba.

Wizara ta afya toeni ufafanuzi.

Inavyofahamika, ukiwa kazini halafu ukasomeshwa na serikali huwa kuna mkataba wa kufanya kazi serikalini kwa muda maalumu baada ya hapo mhusika huwa huru.

Hivyo tamko la rais lipo sahihi.
Kwahio implication / adhabu ni kumfungia daktari na ikibidi kufungia na hospitali husika ?
 
Gts,

Inasikitisha sana tena sana jamii inapoendelea kupotosha kauli ya rais juu daktari aliyekeuka mkataba.

Wizara ta afya toeni ufafanuzi.

Inavyofahamika, ukiwa kazini halafu ukasomeshwa na serikali huwa kuna mkataba wa kufanya kazi serikalini kwa muda maalumu baada ya hapo mhusika huwa huru.

Hivyo tamko la rais lipo sahihi.
Kuna kauli nyingine inabidi kujitoa ufahamu na kujifanya chizi ili kuzitetea.
 
Gts,

Inasikitisha sana tena sana jamii inapoendelea kupotosha kauli ya rais juu daktari aliyekeuka mkataba.

Wizara ta afya toeni ufafanuzi.

Inavyofahamika, ukiwa kazini halafu ukasomeshwa na serikali huwa kuna mkataba wa kufanya kazi serikalini kwa muda maalumu baada ya hapo mhusika huwa huru.

Hivyo tamko la rais lipo sahihi.
Pumbavu kabisa, hiyo umeipata katika sheria au kanuni gani?

Mkataba wa kufanya kazi serikalini kwa miaka mitano ndipo muhusika awe huru ulikuwepo wakati inasomesha watu bure na kuajiri wahitimu wote. Hivi sasa watu wanalipa ada ama kwa fedha zao au mikopo.

Hivyo wizara haina majibu wala hoja ya kufafanua.
 
Back
Top Bottom