Dr.Mollel alipokuwa CHADEMAHili swala linakuzwa sana na Chadema.
Mfano Dr Kigwangalla yeye alisomeshwa na WAMA ndio maana serikali haikushughulika naye.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dr.Mollel alipokuwa CHADEMAHili swala linakuzwa sana na Chadema.
Mfano Dr Kigwangalla yeye alisomeshwa na WAMA ndio maana serikali haikushughulika naye.
Uko sahihi.Kuna kauli nyingine inabidi kujitoa ufahamu na kujifanya chizi ili kuzitetea.
Hapo BOTSWANA vipi..???Tatizo hapo Ufipa mlikuwa na daktari mmoja tu na ameshasajiliwa na CCM yule Dr Mollel!
Hivi ukiwa ccm lazima uwe mpumbavu..??Gts,
Inasikitisha sana tena sana jamii inapoendelea kupotosha kauli ya Rais juu daktari aliyegeuka mkataba.
Wizara ya afya toeni ufafanuzi.
Inavyofahamika, ukiwa kazini halafu ukasomeshwa na Serikali huwa kuna mkataba wa kufanya kazi Serikalini kwa muda maalumu baada ya hapo mhusika huwa huru.
Hivyo tamko la Rais lipo sahihi.
MENGELENI KWETU kosoa hoja.Hivi ukiwa ccm lazima uwe mpumbavu..??
Tangu lini jizi la kura likaheshimoka?Mkuu uwe na heshima na mwenyekiti wetu, mbona nyie tunawaheshimu.
Njaaa itakuuwa wewe chumia tumbo,unajuaje kama hajamaliza mkataba wake ?Gts,
Inasikitisha sana tena sana jamii inapoendelea kupotosha kauli ya Rais juu daktari aliyegeuka mkataba.
Wizara ya afya toeni ufafanuzi.
Inavyofahamika, ukiwa kazini halafu ukasomeshwa na Serikali huwa kuna mkataba wa kufanya kazi Serikalini kwa muda maalumu baada ya hapo mhusika huwa huru.
Hivyo tamko la Rais lipo sahihi.
Sasa hivi dunia yote inawalaani wana ccmMataga ndiyo kwanza unazidi kumuharibia mwenyekiti wako wa CCM allieteleza kwenye kauli yake.
Mmelaanika kwa mengiMkuu uwe na heshima na mwenyekiti wetu, mbona nyie tunawaheshimu.
Wacha azidi kuweweseka kisa uteuzi wa uvccmHuo mkataba uliuona?
Hawezi kukaa kimya maana kapewa kazi kujaribu kutazama upepo wa wana jamii upoje baada ya hiyo kauliHivi wewe mataga hiyo hospital binafsi inahudumia fisi hadi mwenyekititi wako wa ccm anaagiza ifungwe???
Yani bora ukae kimya aisee.
Kwa taarifa yako huyo Dr ana miaka 6 kazini,sasa katafute ugoro mwingineYes, sehemu zingine 5 years
Chadema imekuzalisha?Hili swala linakuzwa sana na Chadema.
Mfano Dr Kigwangalla yeye alisomeshwa na WAMA ndio maana serikali haikushughulika naye.
Sheria ipi tena mkuu?Sehemu zipi hizo za 5 years???
Je kuna kifungu cha sheria kinasema hospital binafsi ifungwe kwasababu tu dr amehamia hapo kutoka hospital ya taifa????
Hakukosea kabisaHv unadhan aliewaita mataga alikosea????
Huyo ni zoba hivyo hawezi kuuficha huo uzobaHebu ficha uzoba bwashee