Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Proverbs 28:16
[16]A ruler who lacks understanding is [like a wicked one] a great oppressor
[16]A ruler who lacks understanding is [like a wicked one] a great oppressor
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Weka namba ya simu,ununuliwe debe la mahindi.Gts,
Inasikitisha sana tena sana jamii inapoendelea kupotosha kauli ya rais juu daktari aliyekeuka mkataba.
Wizara ta afya toeni ufafanuzi.
Inavyofahamika, ukiwa kazini halafu ukasomeshwa na serikali huwa kuna mkataba wa kufanya kazi serikalini kwa muda maalumu baada ya hapo mhusika huwa huru.
Hivyo tamko la rais lipo sahihi.
Gts,
Inasikitisha sana tena sana jamii inapoendelea kupotosha kauli ya rais juu daktari aliyekeuka mkataba.
Wizara ta afya toeni ufafanuzi.
Inavyofahamika, ukiwa kazini halafu ukasomeshwa na serikali huwa kuna mkataba wa kufanya kazi serikalini kwa muda maalumu baada ya hapo mhusika huwa huru.
Hivyo tamko la rais lipo sahihi.
Kwetu ni kosa ,kuishi kama shetani haitatimia kwa mujibu wa mtu mmoja.Tuseme mfanyakazi kuhama kwenda kwenye maslahi mazuri ni kosa kisheria?
Kwa mujibu wa huyo mzee wao, eti hilo ni kosa!! Yaani anaagiza wasaidizi wake kuwatafuta Madaktari walio amua kwa hiyari yao wenyewe kukimbia njaa Serikalini huku mtaani kukiwa kuna Madaktari wengine lukuki tu wakiwa hawana ajira!!Tuseme mfanyakazi kuhama kwenda kwenye maslahi mazuri ni kosa kisheria?
Hao si wametoa nafasi za ajira,kwani ajira hutolewa nafasi inapokuwepo,au kuziba pengo.Au ndio kusema ajira zimekoma kabisa. Huyu aliejitafutia pa kujiajiri ametengeneza nafasi ya ajira kwa asiye nayo, au nasema uongo ndugu zangu.Kwa mujibu wa huyo mzee wao, eti hilo ni kosa!! Yaani anaagiza wasaidizi wake kuwatafuta Madaktari walio amua kwa hiyari yao wenyewe kukimbia njaa Serikalini huku mtaani kukiwa kuna Madaktari wengine lukuki tu wakiwa hawana ajira!!
Hii Nchi ina viongozi wanao shangaza sana.
Sheria katika nchi hii si lolote mbele ya mkuu wa nchiKwa mujibu wa huyo mzee wao, eti hilo ni kosa!! Yaani anaagiza wasaidizi wake kuwatafuta Madaktari walio amua kwa hiyari yao wenyewe kukimbia njaa Serikalini huku mtaani kukiwa kuna Madaktari wengine lukuki tu wakiwa hawana ajira!!
Hii Nchi ina viongozi wanao shangaza sana.
Si utaje tu jina na namba ya simu ieleweke kuliko kutetea ujinga kwa ID fake?Gts,
Inasikitisha sana tena sana jamii inapoendelea kupotosha kauli ya rais juu daktari aliyekeuka mkataba.
Wizara ya afya toeni ufafanuzi.
Inavyofahamika, ukiwa kazini halafu ukasomeshwa na serikali huwa kuna mkataba wa kufanya kazi serikalini kwa muda maalumu baada ya hapo mhusika huwa huru.
Hivyo tamko la rais lipo sahihi.
Wakifanyiwa mema hawasemi kazi kupotosha na kuponda serikali kila siku ila naamini wamekuelewa Mkuu.Kabisa, yaani watu wazima lakini uelewa mdogo
Hili swala linakuzwa sana na Chadema
Sio lazima ucomment .
Mfano Dr Kigwangalla yeye alisomeshwa na WAMA ndio maana serikali haikushughulika naye.
Hakuna mwizi wa kura mwenye heshima. Mngekuwa na heshima msingemwaga damu za wananchi ili mkae madarakani bila ridhaa yao.Mkuu uwe na heshima na mwenyekiti wetu, mbona nyie tunawaheshimu.
Aliyetoa agizo la kukamatwa daktari wa Tabora yeye mwenyewe aliondoka Sengerema sekondari kwa nguvu kwenda kusoma udsm akiwa na mwaka mmoja na nusu kazini, aliporudi akaenda NYANZA badala ya kurudi kufundisha. Naye atafutwe na mzee Mwinyi arudishe fedha za serikali?Hili swala linakuzwa sana na Chadema.
Mfano Dr Kigwangalla yeye alisomeshwa na WAMA ndio maana serikali haikushughulika naye.
Ni lazima kweli kuwa na heshima lakini umemsikia Polepole anavyomzungumzia Mwenyekiti Mbowe? Au Ndugai?Mkuu uwe na heshima na mwenyekiti wetu, mbona nyie tunawaheshimu.