Samiaagain2025
JF-Expert Member
- Dec 2, 2020
- 3,626
- 3,869
Acha kupotosha.Hakuna mkataba kama huo, otherwise wewe ni mkulima au mfanya biashara, unataka kudandia mada.Gts,
Inasikitisha sana tena sana jamii inapoendelea kupotosha kauli ya Rais juu daktari aliyegeuka mkataba.
Wizara ya afya toeni ufafanuzi.
Inavyofahamika, ukiwa kazini halafu ukasomeshwa na Serikali huwa kuna mkataba wa kufanya kazi Serikalini kwa muda maalumu baada ya hapo mhusika huwa huru.
Hivyo tamko la Rais lipo sahihi.
Kuna walimu walipata 100% ya mkopo chuo kikuu,Leo wapo mtaani.
Salary Slip Dkt Magufuli hahitaji kutetewa, kinachohitajika ni ufafanuzi tu mkuu. Tatizo lako na baadhi ya wapinzani wenye akili ka za Trump hamkubali kushindwa, kila kitu kwenu kibaya na hamfikirii positive badala yake kila kitu mnapinga.Kumtetea Magu ni kazi ngumu kuliko kukoroga zege.
Hao si wametoa nafasi za ajira,kwani ajira hutolewa nafasi inapokuwepo,au kuziba pengo.Au ndio kusema ajira zimekoma kabisa. Huyu aliejitafutia pa kujiajiri ametengeneza nafasi ya ajira kwa asiye nayo, au nasema uongo ndugu zangu.
[emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu uwe na heshima na mwenyekiti wetu, mbona nyie tunawaheshimu.
Kwenye mshahara wa huyo dokta hakukatwi marejesho ya HELSB?Gts,
Inasikitisha sana tena sana jamii inapoendelea kupotosha kauli ya Rais juu daktari aliyegeuka mkataba.
Wizara ya afya toeni ufafanuzi.
Inavyofahamika, ukiwa kazini halafu ukasomeshwa na Serikali huwa kuna mkataba wa kufanya kazi Serikalini kwa muda maalumu baada ya hapo mhusika huwa huru.
Hivyo tamko la Rais lipo sahihi.
Sorry . Define uzalendo?Hapana ni uzalendo halisia
Gts,
Inasikitisha sana tena sana jamii inapoendelea kupotosha kauli ya Rais juu daktari aliyegeuka mkataba.
Wizara ya afya toeni ufafanuzi.
Inavyofahamika, ukiwa kazini halafu ukasomeshwa na Serikali huwa kuna mkataba wa kufanya kazi Serikalini kwa muda maalumu baada ya hapo mhusika huwa huru.
Hivyo tamko la Rais lipo sahihi.
Mkuu uwe na heshima na mwenyekiti wetu, mbona nyie tunawaheshimu.
Unajua ninyi chadema mkiambiwa hamna Akili mnarusha povu. Hivi hamjui sheria za mikataba ya kazi kati ya mwajiri na mwajiriwa?Sehemu zipi hizo za 5 years???
Je kuna kifungu cha sheria kinasema hospital binafsi ifungwe kwasababu tu dr amehamia hapo kutoka hospital ya taifa????
usikute kama alikopeshwa hata mkopo alikuwa hajamaliza, wakifukunyua watapata makosa kibao. wamkamate tu.Gts,
Inasikitisha sana tena sana jamii inapoendelea kupotosha kauli ya Rais juu daktari aliyegeuka mkataba.
Wizara ya afya toeni ufafanuzi.
Inavyofahamika, ukiwa kazini halafu ukasomeshwa na Serikali huwa kuna mkataba wa kufanya kazi Serikalini kwa muda maalumu baada ya hapo mhusika huwa huru.
Hivyo tamko la Rais lipo sahihi.
Unajua ninyi chadema mkiambiwa hamna Akili mnarusha povu. Hivi hamjui sheria za mikataba ya kazi kati ya mwajiri na mwajiriwa?
Unadhani Mh Rais ni mjinga kutoa Maagizo Yale?