Upotoshwaji unaoendelea kufanywa na baadhi ya Wafamasia kumpotosha Waziri wa Afya

Nimemuelewa kwakweli, pharmacists wasitumie ya kuona Ugonjwa huu huwa wanagaiwa dawa hizi, kujifanya wao ni madaktari wanafanya diagnosis na kupendekeza madawa!

Maumivu yakizidi pata ushauri wa Daktari siyo pata ushauri wa mfamasia!
 
Sipingani sana nawe.Napingana kidogo tu kwa hoja hii mfamasia akatengeze dawa,kutuoza na kusambaza kwa mujibu wa taaluma ili kuwe na distribution of work,kama dokta na nesi wanajuwa magonjwa na kumuandikia dawa mgonjwa kwanini wasiruhusiwe kuuza bila cheti cha ADO?Mwisho nisaidiye ni dawa gani ambazo hazitakiwi kutolewa bila cheti cha daktari?
 
Kumekucha watu wanaoongelea taaluma za watu wakati huna taaluma hiyo muuache.
 
hoja imejieleza vyema na imeshiba hongera kwako mkuu upo sahihi sana
 
Hili si la Tanzania tu, ni la dunia nzima. Mtu anapoumwa anajua ni kitu kidogo ambacho nitaenda kukifix pharmacy, au nitapata ushauri wa bure. Tena wagonjwa wanatakiwa kuelimishwa Kumuona kwanza community pharmacist, inapunguza na burden kwenye mfumo wa afya. Bahati mbaya labda si rahisi kumkuta pharmacist.

Na pia wafamasia wanaogopa sana dawa, hawezi kuanza kumpa mtu dawa za moyo, kisukari, za akili, baadhi ya antibiotics nk. Hata hizo Erecto wanaogopa kuwapa watu wanajua zinafanya nini kwenye mwili wa mtu. Hata diclofenac wanaziogopa. Mfamasia hawezi toa dawa kama prednisolone kirahisirahisi, lakini utakuta wengi wanatoa kirahisi tu kwa vitu kama miwasho!! Kila mtu afanye alichosomea ili mgonjwa afaidike zaidi.
 
Mkuu hapo ndio makosea nyinyi madaktari na wafamasia ...

Daktari anahisi anajua dawa kama mfamasia ...kitu ambacho sio sahihi ...hana elimu kubwa ya dawa kama mfamasia...mfamasia ametumia muda mwingi sana kwenye miaka yake minne 4 ya masomo + internship...na kuendelea.... kujifunza kuhusu dawa ...

Mfamasia anahisi anaweza kumsikiliza mgonjwa na kupata diagnosis...chap kwa haraka ...kitu ambacho sio sahihi nikitu ambacho hakiji siku moja ni unajitaji theory na kupractice mara kwa mara + kunyonywa shule wenyewe wanaita ...ile uweze kuwa compitent...hivyo...Daktari amejikita sana kwenye kufanya clinical judgment ...kwa kufanya history taking + physical examination...investigations zipi aagize zifanyike ....na kuamua management ya mgonjwa...na amefanya hivyo kuanzia MD 3,MD4,MD5 + internship.... na kuendelea ....

Mfamasia anayehisi hiyo theory aliyonayo kuhusu magonjwa ...anaweza itumia bila clinical exposure kama aliyo nayo daktari ...anaweza akakaa OPD au pharmacy ...na kupata diagnosis chap kwa haraka ...hayuko sahihi ..

Vivyo hivyo daktari anaehisi anaweza kukaa pharmacy na ku dispense dawa bila kuwa na knowledge kama ya mfamasia....anakosea sana.


KILA MTU AFANYE KAZI YAKE ....PIA KILA MTU ANAMTEGEMEA MWENZAKE ...[emoji1753]
 
Huyo jamaa ni addo aliyechangamka

Na anatumiwa na network tu
 
Hoja yake sio kuingiliana majukumu
Hoja yake ni pale Daktari anapo onekana hawezi kutoa dawa ambazo yeye mwenyewe ndiye ameziandika.

Kutoa dawa akiwa wapi? Hospitali penyewe daktari hatoi dawa, famasi zina taratibu zake kama akitaka basi azifuate.

Hata Jaji hahudumu mahakama za mwanzo.
 
Crap!
 
Njaaa mbaya
 
Fafanua iyo no 2 hacha ulagai , nyie ndo mtatakiwa fungwa maisha,
Dawa ya matumizi ya binadam lazima ipite KWa dactari ,famasia ni nani ?
 
Endelea na discussion ila kwenye ABCD pharmacist wamesoma pia
 
Ndio ndio
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…