Upumbavu ni hali ya kutotumia fikra vizuri na kufanya maamuzi mabaya. Je, Rais kuwaeleze ukweli watendaji wake ni wapumbavu anakosea?

Well said mkuu100%

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama kutengeneza culvert ya diversion imechukua wiki mbili huyo waziri alipaswa ajiuzulu. Ndio maana hata yeye ametambua kosa lake. Na ameonyesha ukomavu kuomba msamaha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…