njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,081
- 8,671
hahahahahhaaaaa jaaajajajajaMbona hueleweki Ndugu? Umeanza kumuongelea popoma mara tena hivi sasa umemtaja gemta una shida gani Kichwani? Ninaitwa All - Rounder.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahahahahhaaaaa jaaajajajajaMbona hueleweki Ndugu? Umeanza kumuongelea popoma mara tena hivi sasa umemtaja gemta una shida gani Kichwani? Ninaitwa All - Rounder.
Kicheko chako tu hiki ni kama cha Wanaume wale wa Kipekee wa Pwani za Mombasa, Tanga na Lamu je, na Wewe ni miongoni mwao ili tukuwahi?hahahahahhaaaaa jaaajajajaja
ulishawahi kuliwa ndogo nini unaonekana mzoefu had I vicheko vya kuandika unavijua,Kwa hiyo uliolewa lamu au MombasaKicheko chako tu hiki ni kama cha Wanaume wale wa Kipekee wa Pwani za Mombasa, Tanga na Lamu je, na Wewe ni miongoni mwao ili tukuwahi?
Napenda sana unavyocheka na jinsi ulivyocheka vile Ndugu. Hebu naomba urudie tena Kucheka Ki Mombasa, Ki Tanga na Ki Lamu kama mwanzo.ulishawahi kuliwa ndogo nini unaonekana mzoefu had I vicheko vya kuandika unavijua,Kwa hiyo uliolewa lamu au Mombasa
Wachezaji wako likizo hadi tarehe 22 hizo program za mazoezi ni zipi ?Hamjamwelewa jamaa. Point yake ni kwamba Simba haina kocha mkuu hivyo kuondoka kwa Matola maanake kaiacha Simba ikiendesha programu za mazoezi pasipokuwepo kwa kocha iwe mkuu ama msaidizi. Hao Mazembe na As Vita, timu zimebakia na makocha wasaidizi
ebnaaeeee Kwa hiyo walikuwa wanakufanya kwenye poop box bila mafutaaa,duh lamu nooma sanaNapenda sana unavyocheka na jinsi ulivyocheka vile Ndugu. Hebu naomba urudie tena Kucheka Ki Mombasa, Ki Tanga na Ki Lamu kama mwanzo.
Utarejea lini tena Mombasa, Tanga na Lamu kuendelea na Jukumu lako Kubwa la Kuulazimisha Ukuta Kuanguka au Kugombana nao ili uburudike?ebnaaeeee Kwa hiyo walikuwa wanakufanya kwenye poop box bila mafutaaa,duh lamu nooma sana
ebanaeee Kwa hiyo unamanisha ulianzia boarding school kuinamishwa ayaaa pole sana oh wait kumbe ulii enjoy,hongera sanaUtarejea lini tena Mombasa, Tanga na Lamu kuendelea na Jukumu lako Kubwa la Kuulazimisha Ukuta Kuanguka au Kugombana nao ili uburudike?
Bongo kila mtu ni kocha, mchezaji, daktari, dereva,raisi,meneja, mkurugenzi, mwanasiasa,mwenyekiti,mbunge,diwani,waziri,mpiga debe, fundi ujenzi, mkandarasi, mpishi,rubani, nahodha, msanii yaani tulivyo ni full mautaalamu.Umemuuliza swali zuri, na mbona wachezaji wa hizo club wameenda timu za taifa. Tatizo la watanzania ni kujifanya wachambuzi kwa mambo ambayo hawana ujuzi nayo. Utakuta mtu anachambua mpira oooh na bla bla kibao ila ukimpa timu aifundishe au yeye acheze ni zeroo.
Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Mbona alishapigwa hapo kwa Mkapa? Umesaha?Eti kwa Simba hii iwapige Al ahal?nimempenda Sven jumba bovu lisimwangukie, na bado mtateseka tu
Huyu ni kocha mwenye akili fupiKaimu Kocha wa Simba SC Selemani Matola mara baada ya Michuano ya Mapinduzi Cup alipohojiwa na Press alisema kuwa amewapa Wachezaji likizo mpaka Ijumaa ya Wiki hii (22 January 2021) kisha watarejea Mazoezini upesi sana ili kujiandaa kikamilifu kabisa na Michezo Klabu Bingwa ambayo inaanza mapema tu Mwezi February.
Cha Kushangaza Kaimu Kocha huyo huyo Matola akijua Simba SC haina Kocha yoyote juzi ameenda Kuungana na Timu ya Taifa (Taifa Stars) na kuiacha Simba SC bila Kocha. Sasa naanza Kumuelewa Rais JPM pamoja na Wadau wengine wa Soka nchini Tanzania kuwa Timu mbili hizi Kongwe na Kubwa nchini Tanzania zimejaa Uhuni, Usanii na Upuuzi huku zikituchelewesha Kimaendeleo.
Hivi ni lazima tu Kocha Matola aende huko Cameroon? Kwani hakuna Makocha wengine? Hizi 10% za TFF na huu Usimba na Uyanga utatugharimu.
Huyo Matola ana sifa gani ya kuwa kocha msaidizi wa Taifa Stars? Au ndo uchawi ule?Kaimu Kocha wa Simba SC Selemani Matola mara baada ya Michuano ya Mapinduzi Cup alipohojiwa na Press alisema kuwa amewapa Wachezaji likizo mpaka Ijumaa ya Wiki hii (22 January 2021) kisha watarejea Mazoezini upesi sana ili kujiandaa kikamilifu kabisa na Michezo Klabu Bingwa ambayo inaanza mapema tu Mwezi February.
Cha Kushangaza Kaimu Kocha huyo huyo Matola akijua Simba SC haina Kocha yoyote juzi ameenda Kuungana na Timu ya Taifa (Taifa Stars) na kuiacha Simba SC bila Kocha. Sasa naanza Kumuelewa Rais JPM pamoja na Wadau wengine wa Soka nchini Tanzania kuwa Timu mbili hizi Kongwe na Kubwa nchini Tanzania zimejaa Uhuni, Usanii na Upuuzi huku zikituchelewesha Kimaendeleo.
Hivi ni lazima tu Kocha Matola aende huko Cameroon? Kwani hakuna Makocha wengine? Hizi 10% za TFF na huu Usimba na Uyanga utatugharimu.
Amebadili jinapopoma kwani ile I'd nyingine imepigwa ban Kwa mda gani
Ye mwenyewe kasema wachezaji wamepewa likizo kwa hiyo wako mapumziko. kama mpaka ijumaa ataona team wanafanya mazoezi wenyewe ndio angeleta huu Uzi. Viongozi wanatoa mamilioni kuendesha team sidhani wanaweza kuwa wazembe hivyoHamjamwelewa jamaa. Point yake ni kwamba Simba haina kocha mkuu hivyo kuondoka kwa Matola maanake kaiacha Simba ikiendesha programu za mazoezi pasipokuwepo kwa kocha iwe mkuu ama msaidizi. Hao Mazembe na As Vita, timu zimebakia na makocha wasaidizi
Kumbe tunachangia uzi wa mjinga kiasi hikiRejea tena Hoja yangu ya Msingi hapo kisha angalia pale nilipokazia ninadhani utanielewa vyema na Kuondokana rasmi na Ujuha wako wa Kurithi.
Mbona kocha wa Mazembe na Vita(Club Kubwa Congo) ndio makocha wa Timu ya Taifa Congo.
Sent using Jamii Forums mobile app