Upuuzi huu usiovumilika na uliovuka Kiwango unapatikana katika Soka la Tanzania tu duniani kote

Kicheko chako tu hiki ni kama cha Wanaume wale wa Kipekee wa Pwani za Mombasa, Tanga na Lamu je, na Wewe ni miongoni mwao ili tukuwahi?
ulishawahi kuliwa ndogo nini unaonekana mzoefu had I vicheko vya kuandika unavijua,Kwa hiyo uliolewa lamu au Mombasa
 
Hamjamwelewa jamaa. Point yake ni kwamba Simba haina kocha mkuu hivyo kuondoka kwa Matola maanake kaiacha Simba ikiendesha programu za mazoezi pasipokuwepo kwa kocha iwe mkuu ama msaidizi. Hao Mazembe na As Vita, timu zimebakia na makocha wasaidizi
Wachezaji wako likizo hadi tarehe 22 hizo program za mazoezi ni zipi ?
 
Napenda sana unavyocheka na jinsi ulivyocheka vile Ndugu. Hebu naomba urudie tena Kucheka Ki Mombasa, Ki Tanga na Ki Lamu kama mwanzo.
ebnaaeeee Kwa hiyo walikuwa wanakufanya kwenye poop box bila mafutaaa,duh lamu nooma sana
 
ebnaaeeee Kwa hiyo walikuwa wanakufanya kwenye poop box bila mafutaaa,duh lamu nooma sana
Utarejea lini tena Mombasa, Tanga na Lamu kuendelea na Jukumu lako Kubwa la Kuulazimisha Ukuta Kuanguka au Kugombana nao ili uburudike?
 
Utarejea lini tena Mombasa, Tanga na Lamu kuendelea na Jukumu lako Kubwa la Kuulazimisha Ukuta Kuanguka au Kugombana nao ili uburudike?
ebanaeee Kwa hiyo unamanisha ulianzia boarding school kuinamishwa ayaaa pole sana oh wait kumbe ulii enjoy,hongera sana
 
Bongo kila mtu ni kocha, mchezaji, daktari, dereva,raisi,meneja, mkurugenzi, mwanasiasa,mwenyekiti,mbunge,diwani,waziri,mpiga debe, fundi ujenzi, mkandarasi, mpishi,rubani, nahodha, msanii yaani tulivyo ni full mautaalamu.
 
Huyu ni kocha mwenye akili fupi
 
Huyo Matola ana sifa gani ya kuwa kocha msaidizi wa Taifa Stars? Au ndo uchawi ule?
 
Hamjamwelewa jamaa. Point yake ni kwamba Simba haina kocha mkuu hivyo kuondoka kwa Matola maanake kaiacha Simba ikiendesha programu za mazoezi pasipokuwepo kwa kocha iwe mkuu ama msaidizi. Hao Mazembe na As Vita, timu zimebakia na makocha wasaidizi
Ye mwenyewe kasema wachezaji wamepewa likizo kwa hiyo wako mapumziko. kama mpaka ijumaa ataona team wanafanya mazoezi wenyewe ndio angeleta huu Uzi. Viongozi wanatoa mamilioni kuendesha team sidhani wanaweza kuwa wazembe hivyo
Rejea tena Hoja yangu ya Msingi hapo kisha angalia pale nilipokazia ninadhani utanielewa vyema na Kuondokana rasmi na Ujuha wako wa Kurithi.
Kumbe tunachangia uzi wa mjinga kiasi hiki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…