Pre GE2025 Upuuzi kuifungia Twitter, kama tunachukia tabia chafu, tuifungie Serikali

Pre GE2025 Upuuzi kuifungia Twitter, kama tunachukia tabia chafu, tuifungie Serikali

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mbona hata FB kuna watanzania wanafanya biashara za ngono na wateja wao ni watanzania?

Siku hizi mpaka kwenye majukwaa kuna lugha zisizo na maadili kulingana na mila zetu.
Zipo nyimbo nyingi za wasanii wa bongo haziendani na mila zetu lakini zinapigwa mpaka kwenye mikesha ya mwenge. Mikesha isiyoendana na maadili yetu . Na pia Mwenge sio maadili ya mwafrika na mila zetu ni mila za kigeni.

Mwenyezi Mungu alishusha aya kwa ajili ya Wanafiki .

Napendekeza Aya nzima inayohusu wanafiki iwekwe kwenye Katiba

Tena huko kwenye mwenge, kumejaa ngono tupu. Kila unakolala mwenge, sijui huwa umepandikiza maambukizi ya HIV kiasi gani!! Hawa watu ni vinara wa uovu lakini kwa unafiki na dhamira mbaya, wanataka kufungia mitandao ambayo watu wanatumia kuwakosoa.
 
Watu wanakesha Mitandaoni kutafuta Fursa na huko ndio wanakutana na mambo mazuri na mabaya.

Serikali itengeneze Ajira kwa Vijana hapatakuwepo tena hofu ya Ushoga.

Serikali iimarishe kilimo asilia hapakuwepo tena hofu ya Ushoga.

Serikali ijikite kwenye tafiti za Chanjo zetu kama Urusi na North Korea hapatakuwepo tena hofu ya Ushoga

Serikali iwafunge Mafisadi kwani Somola na Gomola Chanzo Cha kuteketezwa Kwake ni Ufisadi uliokithiri so wenye Fedha na Madaraka wakafanya starehe zote na mwisho wakafanya Ibada za Makafara ya Ubasha yaani kuingiliana kinyume Cha maumbile Ili kumtukuza Shetani

Jumatatu yako iwe ya Baraka!
Mashehe ubwabwa wanahubiri maadili ya ushoga, na ujingga kama huo, maadali ya HAKI, wizi serikalini, KUTEKA WATU, KUUA, KUBAMBIKIA KESI hayaongelei PUMBAVU
 
Back
Top Bottom