Pre GE2025 Upuuzi kuifungia Twitter, kama tunachukia tabia chafu, tuifungie Serikali

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Tena huko kwenye mwenge, kumejaa ngono tupu. Kila unakolala mwenge, sijui huwa umepandikiza maambukizi ya HIV kiasi gani!! Hawa watu ni vinara wa uovu lakini kwa unafiki na dhamira mbaya, wanataka kufungia mitandao ambayo watu wanatumia kuwakosoa.
 
Mashehe ubwabwa wanahubiri maadili ya ushoga, na ujingga kama huo, maadali ya HAKI, wizi serikalini, KUTEKA WATU, KUUA, KUBAMBIKIA KESI hayaongelei PUMBAVU
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…