Upuuzi Wa Alikiba,Ujinga Wa Wema

safari hii watoto wa Facebook mnatumaliza kwa ujinga wen
mambo ya kushabikia ujinga mnatuingiza na sisi
 
Haters wanafurahi ndo maana wakati anatoa cinderela alikuwa na bifu na duly Sykes ndo maana aka hit [emoji2] [emoji2] [emoji2] sasa hivi simba anamfanya awe juu middle finger #
 
Hizi habari za Instagram naona unaleta JF hayo jukwaa ni Instagram sio uku
 
Huu ni upumbavu najuta kufungua hii thread
 

I once was assuming kuwa wanaoingia kwenye hizi social media na hasa websites kama JF ni wasomi, wameelimika, visionary, matured, n.k

I was wrong
 


Mimi naomba kutoka njee ya mada mrembo. Hivi ni wewe La princesa naemjua mimi? yule bloga wa kizungu?
 
Wivu mbaya
 
Akili zakuazima hizi. Wewe mleta mada ndo pumba kabisa
 
kile kijamaa ata nikiangalia picha zake kina onekana kina stress na roho mbayaaa, kibakuli
 
Kosa mademu Wa zamani Wa %D.Platrump2016 alowakazaga #Ali kiba sijui angekuwa wapi kenye Gemu.Na kama anajiamini kweli ye King aachane na akina Jokate na Wema Chepetu.Awe yeye ka y3y3 afu ashee na Mademu wengne tafauti na Joka la mzimu.
 
Nyie Ndio Akina Gigi Money Nyie.
Sasa Unabaki Kusema Inasemekana.
Hiyo Ni HearSay Yani Umbea. Hata Mahakamani Ushahidi Wa Hivyo Wa Kusema Inasemekana Haukubaliwi.
Sema Unachojua Wewe.
Kwanza Unajishtukia Mwenyewe.
Afu Source Ya Hizo Information Ni Wewe Mwenyewe Au??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…