Upuuzi wa CAF Usitupumbaze Wananchi, Tusiridhike Mapema

Upuuzi wa CAF Usitupumbaze Wananchi, Tusiridhike Mapema

demigod

JF-Expert Member
Joined
Jan 2, 2015
Posts
8,292
Reaction score
15,250
Kuna huu upuuzi ambao umeibuka hivi sasa hapa Bongo.

Nadhani umeanzhishwa ili kufanya watu wajione wamefanikiwa.

Binafsi ninaishikuru klabu yangu, Mabingwa wa kihistoria wa Ligi Kuu kwa kuuona na kuukwepa huu mtego.

Klabu yeyote kubwa na yenye malengo makubwa haiwezi kutosheka na hatua ndogo ndogo ambazo wengi wanazi define kama maafanikio.

Anyways, yaweza kuwa mafanikio kwenye klabu yao lakini nina shukuru sio kipimo cha mafanikio kwa klabu yangu.

Sijawahi kuona Timu kubwa Barani afrika kama Club Africaine, Al Ahly, Us Monastir, Mamelody Sundowns, TP Mazembe au Wyday Casablanca zikiturahia upuuzi wa sijui klabu bora ya week au mchezaji bora wa week katika akaunti zao rasmi za mitandao ya kijamii.

Hii inaonyesha ni jinsi gani hizi klabu ni kubwa sana na zina malengo makubwa.

MAFANIKIO YA KLABU YEYOTE KUBWA NI TAJI, NA WALA SI VINGINEVYO.

20230322_100625.jpg
 
Watatuletea na timu bora ya siku ikitoka kwenye wachezaji bora wa wiki🤣🤣🤣, watu wanaangalia kombe nyie mnaangalia wachezaji bora wiki🤣🤣

Timu yoyote inaweza kucheza vizuri kwenye game moja inategemea anacheza na nani, ata ihefu au mtibwa sugar inaweza kucheza vizuri kwenye mechi yoyote na ikaingia kwenye kikosi bora cha wiki kwakuwa ndani ya wiki inachezwa mechi moja moja, kwaiyo uwezi kupima ubora wa timu kwa kuchagua mchezaji bora wa wiki ni upumbavu tu unaosapotiwa na kikundi cha wale Timu mangungu.
 
Sijawahi kuona Timu kubwa Barani afrika kama Club Africaine, Al ahly, Us Monastir, Mamelody Sundowns, TP Mazembe au Wyday Casablanca zikiturahia upuuzi wa sijui klabu bora ya week au mchezaji bora wa week katika akaunti zao rasmi za mitandao ya kijamii.
Hivi Club Africaine nayo ni klabu kubwa barani Afrika? Utopolo bwana, eti ili tuseme waliitoa klabu kubwa 😁😁😁
 
Anyways, yaweza kuwa mafanikio kwenye klabu yao lakini nina shukuru sio kipimo cha mafanikio kwa klabu yangu.
Kwa hiyo tukubaliane tu kwamba kwa mujibu wa wewe, klabu yako ya Yanga haijawahi kufanikiwa kwa lolote Afrika. Sasa hapo unamfokea nani, CAF wanaotoa hiyo tuzo au klabu na wachezaji wanaopewa hiyo tuzo? Kama ni CAF, zipo taratibu za kukata rufaa, usiwe kama Feisal 😁
 
Kuna huu upuuzi ambao umeibuka hivi sasa hapa Bongo.
CAF wapuuzi sana. Yaani Simba mbovu hivi tunaiona wote, eti imetoa wachezaji wanne, yaani ya kikosi cha wiki? Inaumiza sana na sisi wananchi tunaona kuna hujuma za wazi za kuipendelea Simba. Kwa ufupi Simba ni mbovu, CAF ni wazinguaji na wananchi tupinge kwa njia zote kwa utaratibu unaokubalika

1679471569848.png
 
Wangepostiwa uto pale huu uzi usingekuwepo, nyie pilipili msiyoila yawawaishia nini, tupo makombe tofauti lakn hata player of the week tu inawauma tukilibeba kabsa maisha yenu si ndio yatakuwa magumu zaidi, omben na nyie mpostiwe kwenye kombe la maloser kule.
 
CAF wapuuzi sana. Yaani Simba mbovu hivi tunaiona wote, eti imetoa wachezaji wanne, yaani ya kikosi cha wiki? Inaumiza sana na sisi wananchi tunaona kuna hujuma za wazi za kuipendelea Simba. Kwa ufupi Simba ni mbovu, CAF ni wazinguaji na wananchi tupinge kwa njia zote kwa utaratibu unaokubalika

View attachment 2561358
Shida ni moja tatizo tulipo nyie hampo mngekuwepo tungeongea lugha moja ila hapa ni kupoteza muda tu
 
Watatuletea na timu bora ya siku ikitoka kwenye wachezaji bora wa wiki[emoji1787][emoji1787][emoji1787], watu wanaangalia kombe nyie mnaangalia wachezaji bora wiki[emoji1787][emoji1787]
.

Ndiko wanako elekea huko.

Wenzako wanajipanga kutwaa ndoo wewe uko bize kupush ajenda za kipuuzi.

Mwisho wa siku anayekumbukwa ni mwenye taji.
 
Shida ni moja tatizo tulipo nyie hampo mngekuwepo tungeongea lugha moja ila hapa ni kupoteza muda tu
Yanga SC imeteuliwa kuwa best perfoming club mara 2.

Huwezi kuona shabiki wa Yanga SC anashadadia upuuzi kama huo.


Coz malengo ya klabu sio kuridhika na haja hiyo.
 
Kuna huu upuuzi ambao umeibuka hivi sasa hapa Bongo.

Nadhani umeanzhishwa ili kufanya watu wajione wamefanikiwa...
CAF wajinga kweli kwanini watengeneze hichi kikosi ambacho hata ihefu anaweza kumtoa mchezaji Bora wa week club bingwa wakati yanga hajawai kutoa huyo mchezaji wa week club bingwa, CAF wajinga kweli sisi ambao team zetu hazipo club bingwa ndio tunazonakili.
 
  • Thanks
Reactions: BRN
Kuna huu upuuzi ambao umeibuka hivi sasa hapa Bongo.

Nadhani umeanzhishwa ili kufanya watu wajione wamefanikiwa...
Yanga Kwa kule iliko Ina nafasi ya kutwaa ubingwa sijaona Timu ya kuizidi kule ila Kwa Simba safari Yao imefikia Kikomo labda bahati itokee.
 
Naona huko ni kukosa shukrani kwa hatua ndogo inayofikiwa. Kwa mtazamo huu hata timu ikitwaa ubingwa kwa mara ya kwanza haitonekana ni mafanikio makubwa bila labda itwae kombe mara nyingi mfululizo hayo ndiyo mafanikio. Kila hatua timu inayofika ni mafanikio na inastahili kupongezwa na hata ikibidi ifanye sherehe kwa kuvunja rekodi zake. This is not business as ussually.
 
Back
Top Bottom