XII Tz
JF-Expert Member
- Aug 16, 2020
- 4,345
- 7,076
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sijataja Simba ktk UZI.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sijataja Simba ktk UZI.
Maumivu ni makali sana, wametumia fedha nyingi kuhonga wachambuzi ili kui-downgrade simba ionekane mbovu, matokeo yake kinacho tokea tena kwenye mashindano makubwa ya Cafcl ni kinyume chake na wanacho kisema.CAF ndio walioweka huo utaratibu, sasa iweje useme wanashangaa? Yaani CAF washangae kitu walichokiandaa wenyewe? [emoji16] Kweli huko wapo wawili tu [emoji23][emoji23][emoji23]
Jinsi ulivochanganyikiwa hadi herufi 'h' haionekani kwenye keyboard 😂 😂 😂Ata ao CAF wanatushangaaa
Nyie hamnazo kweli kweli..sasa unapovukwa nini kama hakikuumi au unaona hakina tija?? Yani kwa huo uchungu mpk mtajifungua vi simba vitoto..Yanga SC imeteuliwa kuwa best perfoming club mara 2.
Huwezi kuona shabiki wa Yanga SC anashadadia upuuzi kama huo.
Coz malengo ya klabu sio kuridhika na haja hiyo.
Club African na monastir sio timu kubwa africaKuna huu upuuzi ambao umeibuka hivi sasa hapa Bongo.
Nadhani umeanzhishwa ili kufanya watu wajione wamefanikiwa.
Binafsi ninaishikuru klabu yangu, Mabingwa wa kihistoria wa Ligi Kuu kwa kuuona na kuukwepa huu mtego.
Klabu yeyote kubwa na yenye malengo makubwa haiwezi kutosheka na hatua ndogo ndogo ambazo wengi wanazi define kama maafanikio.
Anyways, yaweza kuwa mafanikio kwenye klabu yao lakini nina shukuru sio kipimo cha mafanikio kwa klabu yangu.
Sijawahi kuona Timu kubwa Barani afrika kama Club Africaine, Al Ahly, Us Monastir, Mamelody Sundowns, TP Mazembe au Wyday Casablanca zikiturahia upuuzi wa sijui klabu bora ya week au mchezaji bora wa week katika akaunti zao rasmi za mitandao ya kijamii.
Hii inaonyesha ni jinsi gani hizi klabu ni kubwa sana na zina malengo makubwa.
MAFANIKIO YA KLABU YEYOTE KUBWA NI TAJI, NA WALA SI VINGINEVYO.
Nakukumbusha tu kuwa malengo ya timu yako yalifeli vibaya pale iliposhindwa kuingia makundi ya Klabu bingwa. Kwa sasa timu yako inashiriki mashindano isiyojua inataka nini.Kuna huu upuuzi ambao umeibuka hivi sasa hapa Bongo.
Nadhani umeanzhishwa ili kufanya watu wajione wamefanikiwa.
Binafsi ninaishikuru klabu yangu, Mabingwa wa kihistoria wa Ligi Kuu kwa kuuona na kuukwepa huu mtego.
Klabu yeyote kubwa na yenye malengo makubwa haiwezi kutosheka na hatua ndogo ndogo ambazo wengi wanazi define kama maafanikio.
Anyways, yaweza kuwa mafanikio kwenye klabu yao lakini nina shukuru sio kipimo cha mafanikio kwa klabu yangu.
Sijawahi kuona Timu kubwa Barani afrika kama Club Africaine, Al Ahly, Us Monastir, Mamelody Sundowns, TP Mazembe au Wyday Casablanca zikiturahia upuuzi wa sijui klabu bora ya week au mchezaji bora wa week katika akaunti zao rasmi za mitandao ya kijamii.
Hii inaonyesha ni jinsi gani hizi klabu ni kubwa sana na zina malengo makubwa.
MAFANIKIO YA KLABU YEYOTE KUBWA NI TAJI, NA WALA SI VINGINEVYO.
Yaan wananiacha hoi mie, khaaaaah.Wangepostiwa uto pale huu uzi usingekuwepo, nyie pilipili msiyoila yawawaishia nini, tupo makombe tofauti lakn hata player of the week tu inawauma tukilibeba kabsa maisha yenu si ndio yatakuwa magumu zaidi, omben na nyie mpostiwe kwenye kombe la maloser kule.
Mambo yanabadili na ubunifu unaongezeka mkuu inawezekana kabisa haujawahi kuyaona huko nyuma sehemu yyte ila kwa sasa ndio yameanza na bahati nzuri na siye tumo.Kuna huu upuuzi ambao umeibuka hivi sasa hapa Bongo.
Nadhani umeanzhishwa ili kufanya watu wajione wamefanikiwa.
Binafsi ninaishikuru klabu yangu, Mabingwa wa kihistoria wa Ligi Kuu kwa kuuona na kuukwepa huu mtego.
Klabu yeyote kubwa na yenye malengo makubwa haiwezi kutosheka na hatua ndogo ndogo ambazo wengi wanazi define kama maafanikio.
Anyways, yaweza kuwa mafanikio kwenye klabu yao lakini nina shukuru sio kipimo cha mafanikio kwa klabu yangu.
Sijawahi kuona Timu kubwa Barani afrika kama Club Africaine, Al Ahly, Us Monastir, Mamelody Sundowns, TP Mazembe au Wyday Casablanca zikiturahia upuuzi wa sijui klabu bora ya week au mchezaji bora wa week katika akaunti zao rasmi za mitandao ya kijamii.
Hii inaonyesha ni jinsi gani hizi klabu ni kubwa sana na zina malengo makubwa.
MAFANIKIO YA KLABU YEYOTE KUBWA NI TAJI, NA WALA SI VINGINEVYO.
Utopolooo kwa makasiriko jaman hamjambooo, mbna mnaumia na visivyo wahusu.Ata ao CAF wanatushangaaa Kwa kushangilia vitu vya ki puuzi. Hakuna klabu yoyote kubwa Africa ikashangilia parfonance ya wachezaji au timu ya wiki /mwezi.Timu kubwa hazina Cha kuwaambia mashabiki zaidi ya Mataji.
Tanzania wapumbavu wanaongezeka yaani CAF waandae kikosi Bora,mchezaji Bora waanze kushangaa wachezaji waliowachagua au kuchaguliwa Kwa kura za mashabiki kushangiliwa?Ushauri wa Bure,Kula mlo kamili akili itaongezeka TU.Ata ao CAF wanatushangaaa Kwa kushangilia vitu vya ki puuzi. Hakuna klabu yoyote kubwa Africa ikashangilia parfonance ya wachezaji au timu ya wiki /mwezi.Timu kubwa hazina Cha kuwaambia mashabiki zaidi ya Mataji.
Jinsi ulivochanganyikiwa hadi herufi 'h' haionekani kwenye keyboard [emoji23] [emoji23] [emoji23]