Upuuzi wa CAF Usitupumbaze Wananchi, Tusiridhike Mapema

Upuuzi wa CAF Usitupumbaze Wananchi, Tusiridhike Mapema

Ata ao CAF wanatushangaaa Kwa kushangilia vitu vya ki puuzi. Hakuna klabu yoyote kubwa Africa ikashangilia parfonance ya wachezaji au timu ya wiki /mwezi.Timu kubwa hazina Cha kuwaambia mashabiki zaidi ya Mataji.
 
Ata ao CAF wanatushangaaa Kwa kushangilia vitu vya ki puuzi. Hakuna klabu yoyote kubwa Africa ikashangilia parfonance ya wachezaji au timu ya wiki /mwezi.Timu kubwa hazina Cha kuwaambia mashabiki zaidi ya Mataji.

Keypoint:

"Timu kubwa hazina Cha kuwaambia mashabiki zaidi ya Mataji"
 
Yanga imeteuliwa wapi ?lini?kwenye mashindano yapi ?Shekhe story zinazo zungumzwa hapa ni za club bingwa TU.
Mkia mwenzako aliuliza habari za Yanga SC ikabidi nimpe jawabu.
 
Hadi Try Again ametweet kuwahimiza mkapige kura kuleta heshima msimbazi.
Hapo ni kuridhika mkuu? Kama ulishawahi pata clip ya Mo akielezea kwanini kawekeza Simba wala usingeleta huu uzi, pili kuhusu try again kuhimiza watu kupiga kura labda mchezaji anapata chochote au anajua wakija kumuuza dau linakuwa refu
 
Nasikitika kusema wewe hujitambui na mwiko wako huko nyuma
Simba kutoa wachezaji 4 kwenye kikosi bora cha wiki na wachezaji 2 kuwania mchezaji bora vinawauma sana utopolo je yale magoli pia tusishabikie?
 
Nasikitika kusema wewe hujitambui na mwiko wako huko nyuma
Simba kutoa wachezaji 4 kwenye kikosi bora cha wiki na wachezaji 2 kuwania mchezaji bora vinawauma sana utopolo je yale magoli pia tusishabikie?
Sijataja Simba ktk UZI.
 
Ata ao CAF wanatushangaaa Kwa kushangilia vitu vya ki puuzi. Hakuna klabu yoyote kubwa Africa ikashangilia parfonance ya wachezaji au timu ya wiki
CAF ndio walioweka huo utaratibu, sasa iweje useme wanashangaa? Yaani CAF washangae kitu walichokiandaa wenyewe? 😁 Kweli huko wapo wawili tu 😂😂😂
 
Kuna huu upuuzi ambao umeibuka hivi sasa hapa Bongo.

Nadhani umeanzhishwa ili kufanya watu wajione wamefanikiwa.

Binafsi ninaishikuru klabu yangu, Mabingwa wa kihistoria wa Ligi Kuu kwa kuuona na kuukwepa huu mtego.

Klabu yeyote kubwa na yenye malengo makubwa haiwezi kutosheka na hatua ndogo ndogo ambazo wengi wanazi define kama maafanikio.

Anyways, yaweza kuwa mafanikio kwenye klabu yao lakini nina shukuru sio kipimo cha mafanikio kwa klabu yangu.

Sijawahi kuona Timu kubwa Barani afrika kama Club Africaine, Al Ahly, Us Monastir, Mamelody Sundowns, TP Mazembe au Wyday Casablanca zikiturahia upuuzi wa sijui klabu bora ya week au mchezaji bora wa week katika akaunti zao rasmi za mitandao ya kijamii.

Hii inaonyesha ni jinsi gani hizi klabu ni kubwa sana na zina malengo makubwa.

MAFANIKIO YA KLABU YEYOTE KUBWA NI TAJI, NA WALA SI VINGINEVYO.
Sizitaki mbichi hizi

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Watatuletea na timu bora ya siku ikitoka kwenye wachezaji bora wa wiki[emoji1787][emoji1787][emoji1787], watu wanaangalia kombe nyie mnaangalia wachezaji bora wiki[emoji1787][emoji1787]

Timu yoyote inaweza kucheza vizuri kwenye game moja inategemea anacheza na nani, ata ihefu au mtibwa sugar inaweza kucheza vizuri kwenye mechi yoyote na ikaingia kwenye kikosi bora cha wiki kwakuwa ndani ya wiki inachezwa mechi moja moja, kwaiyo uwezi kupima ubora wa timu kwa kuchagua mchezaji bora wa wiki ni upumbavu tu unaosapotiwa na kikundi cha wale Timu mangungu.
Watu mnachuki kupita kiasi
 
Yaani hili nalo mnataka muelimishwe? Hili nalo mnalikebehi?
 
Club kubwa Africaine, ungeongeza na Zalani kabisa ili roho yako iridhike
 
Yanga SC imeteuliwa kuwa best perfoming club mara 2. Huwezi kuona shabiki wa Yanga SC anashadadia upuuzi kama huo.
Coz malengo ya klabu sio kuridhika na haja hiyo.
Huo uteuzi ulifanyikaje wakati Yanga haishiriki Klabu Bingwa, yaani kwa kizungu Champions League? 😂😂 😂
 
Yanga SC imeteuliwa kuwa best perfoming club mara 2.

Huwezi kuona shabiki wa Yanga SC anashadadia upuuzi kama huo.


Coz malengo ya klabu sio kuridhika na haja hiyo.
Imeteuliwa na nani ?? [emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787]
 
Yanga Kwa kule iliko Ina nafasi ya kutwaa ubingwa sijaona Timu ya kuizidi kule ila Kwa Simba safari Yao imefikia Kikomo labda bahati itokee.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Ata ao CAF wanatushangaaa Kwa kushangilia vitu vya ki puuzi. Hakuna klabu yoyote kubwa Africa ikashangilia parfonance ya wachezaji au timu ya wiki /mwezi.Timu kubwa hazina Cha kuwaambia mashabiki zaidi ya Mataji.
Kwakuwa unaishi Misri, Morocco, Algeria ambapo hizo team kubwa zinapatikana, au sio ??
 
Hapo ni kuridhika mkuu? Kama ulishawahi pata clip ya Mo akielezea kwanini kawekeza Simba wala usingeleta huu uzi, pili kuhusu try again kuhimiza watu kupiga kura labda mchezaji anapata chochote au anajua wakija kumuuza dau linakuwa refu
Unajichosha tu mkuu, Luc Eymael alishamaliza kila kitu, manara akapigilia msumari.
 
Back
Top Bottom