Upuuzi wa Kocha Pablo wa Simba SC unavyozidi kuisafishia Yanga SC njia ya kuwa Mabingwa wa NBC Premier League kwa 75% mpaka sasa

GENTAMYCINE uko loyal sana kwa team yako ila tatizo wameweka pamba masikioni.
Wangekuwa wananisikiliza kila ninachowaambia hapa JamiiForums wala tusingefikia hapa Mkuu ila tatizo akina GENTAMYCINE tunadharauliwa kwakuwa hatuna Pesa, siyo Wanafiki kama Wao na hatuko katika Mfumo wa Upigaji ule wa 10% ambao 85% ya Viongozi wa sasa wa Simba SC ndiyo wanao ( wanaufanya ) ila Watu ( wana Simba SC ) wengi hawajui.
 
Tatzo huna consistency katika utoaji maoni ndo maana huwa maoni yako yanapuuzwa.Huna unachokisimamia hvyo wanakuona kama M.A.LA.Y wa mpira.
Siku zote Mwerevu ( GENTAMYCINE ) lazima awe Chukizo na Kero kwa AUTHENTIC MORONS kama Wewe na Van pebles hivyo wala sishangai badala yake nasomga mbele tu.

Na kinachonishangaza na mpaka nawadharau na kuwaona hamna tofauti na Takataka Ngumu zilizoko Vyooni ni kwamba Kutwa ( 24/7 ) mkiwa hapa mnasema kuwa hamnipendi, najisikia na sina Akili hata kuniita Mwehu ila nyie nyie ndiyo mnaongoza Kunisoma na Kunifuatilia kila ninachoandika hapa.

Msiache Kunichukia tena zidisheni Ok?
 
Inawezekana kweli yanga akawa bingwa ila ni mapema sana hata raundi ya pili bado mashabiki wa simba mnawasikiliza wachambuzi ucharwa.
 
Kawe kocha wewe tuone. Mibongo bwana, uvumilivu sifuri.
Kwa upangaji ule wa Pablo wa kufanya majaribio ya wachezaji,Simba tujipange tu kwa mwakani.Mwaka huu sio kabisa.

Ninaanza kuona tatizo la uongozi sasa.
 

Wewe ni mpuuzi fulani tu na mpiga kelele hapa. Juzi tu ulikuwa ukiponda uchezaji wa Morrison, leo unasema nini hapa. Kawe kocha wewe tuone, hatutaki mashabiki kubweka na wenye uvumilivu sifuri hapa.
 
Wewe si shabiki wa mpira ni mpiga kelele tu.
 
Inawezekana kweli yanga akawa bingwa ila ni mapema sana hata raundi ya pili bado mashabiki wa simba mnawasikiliza wachambuzi ucharwa.
Pumbavu wapi nimesema Yanga SC ni Bingwa? Nimesema kwa trend ya Simba SC na poor performance ya sasa ya Simba SC kwa sasa huku Yanga SC ikiwa katika Form nawapa 75% ya kuweza kuwa Mabingwa je, logically tu hapo Kimtazamo kuna tatizo?

Huwa nachukia Kukutana na Mijitu isiyo na Akili kama Wewe katika Mada zangu mbalimbali hapa JamiiForums kwani huwa mnanichosha tu na hata Kunipotezea muda wangu wa Kujadiliana na wale Members wachache wenye Akili Kubwa na wanaonielewa haraka GENTAMYCINE.
 
Kutesa kwa zamu hata kuteseka ni kwa zamu pia
 
Kwamba Manara ana siri za Simba kumzidi Senzo aliyehamia upande wa pili? Hilo nakataa,Manara hana impact yoyote kwa Simba kupata matokeo haya maana ni kawaida timu kama Simba kufungwa maana misimu karibu yote Simba amepoteza mechi na kusuluhu lakini bado akachukua ubingwa.

Yanga misimu yote minne ambayo simba amechukua ubingwa wamekuwa wakiongoza ligi tena bila kufungwa hadi mzunguko wa kwanza kwisha.

Msimu ulioisha simba tulipoteza mechi mbili za awali kabisa huku yanga wakiendeleza ushindi lakini mwisho wa msimu ubingwa msimbazi.
 
Wanasimba wenzangu tuwe na subira maana siku zote furaha ya yanga huishia kuongoza ligi hadi mzunguko wa kwanza unaisha lakini lazima watakosa furaha ya ubingwa.

Wanasimba hatuna tabia ya kuanza kulaumiana mapema hivi kisa kupoteza mchezo hiyo tabia ipo upande wa pili.

Ukitaka kuamini ngoja yanga apoteze mechi moja tu watapoteana kuanzia viongozi,wachezaji hadi mashabiki kwakuwa ndiyo utamaduni wao. Sisi simba hatuna utamaduni huo.
 
You're an authentic FOOL on the Forum.
Lazima tukupashe, umezidi kwa kelele zisizo na mantiki hapa. Ulitegemea Simba ashinde mechi zote na achukue ubingwa yeye tu? Hiyo inakuwa ni league au kichekesho.
 
Hata Wewe si Shabiki wa Mpira bali ni Dunduna na Popoma fulani hivi usiyejijua.
Popoma ni wewe unayelialia bila sababu. Mashabiki tunajua kuna ups and downs katika soka, hivyo tunakuwa patient.
 
Jamani SI tuliambiwa ametoka Real Madrid?
Real Madrid hawana Wapumbavu kama Yeye Mkuu. Tena hata Mtani wangu wa Kiha ( Kigoma ) na Rafiki yangu mkubwa tu Kocha Matola anamzidi vingi na Simba SC ingemuamini huenda leo tusingekuwa na haya Matokeo.

Kocha 24/7 ni kuwa tu 'Emotional' mara Kukasirika, Kutukana, Kupiga Chupa, Meza na Mbao? Alichobakiza ni Kutuvulia Truck Suit yake na Kunya katika Pitch na Kujitawazia Nyasi.

Ni Kocha Mpumbavu na Simpendi vile vile. Atupishe tafadhali.
 
GENTAMYCINE simtaki na simpendi Kocha Pablo. Ni msanii tu na hana lolote Mpuuzi Yule. Tena nina Hasira nae kweli kweli hasa kwa Upangaji mbaya wa Kikosi chake cha Jana dhidi ya Mtibwa Sugar FC. Hana Akili period!!
 
Tunapitia kipindi cha mpito tu, mashabiki acheni mihemuko na kulalama sana. Sio simba tu inatopitia nyakati ngumu kwasasa. Tp mazembe na barcelona piah wapo nyakati ngumu.

Ngoma ikivuma sana hupasuka.
 
Lazima tukupashe, umezidi kwa kelele zisizo na mantiki hapa. Ulitegemea Simba ashinde mechi zote na achukue ubingwa yeye tu? Hiyo inakuwa ni league au kichekesho.
Absolutely Nonsense....!!!
 
Hakuna timu isiyopoteza au ku draw acheni pressure kwa timu,ingawa ni kweli usajiri wa wafungaji ulikuwa muhimu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…