Upuuzi wa Kocha Pablo wa Simba SC unavyozidi kuisafishia Yanga SC njia ya kuwa Mabingwa wa NBC Premier League kwa 75% mpaka sasa

Tunapitia kipindi cha mpito tu, mashabiki acheni mihemuko na kulalama sana. Sio simba tu inatopitia nyakati ngumu kwasasa. Tp mazembe na barcelona piah wapo nyakati ngumu.

Ngoma ikivuma sana hupasuka.
Utetezi wa Kipumbavu sana huu Mkuu.
 
Hakuna timu isiyopoteza au ku draw acheni pressure kwa timu,ingawa ni kweli usajiri wa wafungaji ulikuwa muhimu
Kwahiyo kama Mwenyewe hapa Umeshakiri kuwa hatukusajili vyema Washambuliaji unadhani kuna mwanga wowote hasa katika Kushinda Mechi zetu kama hizi ( zile ) nyepesi mfano ile ya Mbeya City mbovu mbovu imetutoa Jasho na Kukojolewa nao Kimoko kile?
 
Hujui mpira kaa chini kitulize! Kiwanja kama Manungu kilivyo kibaya utaishia kumpa lawama Pablo, kwani huyo Tshabalala kule Mbeya hakucheza? Wewe jamaa hujui mpira na nipo tayari kwa matusi yako
 
Wewe ni mpuuzi fulani tu na mpiga kelele hapa. Juzi tu ulikuwa ukiponda uchezaji wa Morrison, leo unasema nini hapa. Kawe kocha wewe tuone, hatutaki mashabiki kubweka na wenye uvumilivu sifuri hapa.
Huyo jamaa hajui mpira kazi yake ni kupayuka tu hapa!
 
Mtoto wa kiongozi tunayemshimu unatukana hovyo?
Mbona hata Yeye ukimzingua huwa anakupa tu Makavu Mkuu na ukizubaa hata Kibao utapigwa? au Umesahau pengine kwakuwa sasa ni Mzee na Kastaafu?
 
Hatushtuliwi na matusi. Endelea kubwabwaja, sisi tunakupa vidonge vinavyostahili.
Pamoja na huko Kuongea Kwake Ugoro hapa JamiiForums lakini Juha Wewe na huyo FORTALEZA Kutwa hamuachi Kumsoma na Kumfuatilia hapa JamiiForums je, nikiwaiteni Wapumbavu nitakuwa nawakosea / nakosea?
 
Hii ndiyo silaha yako sio?

Unamuabisha kwa kuongea lugha chafu. Kama una ngozi laini acha kuja na vihoja vyako vya kulazimisha.
Unakuja lini Kumsalimia hapa Masaki?
 
Hatushtuliwi na matusi. Endelea kubwabwaja, sisi tunakupa vidonge vinavyostahili.
Unanipa Vidonge ila Wewe kile Kidonge chako cha Ugonjwa wako wa Akili ulionao kwa muda mrefu umekumbuka Kunywa leo?
 
Hichi ndicho kinachofanyika sasa 🤔🤔🤔

"Tuache Kuiwazia Yanga SC 24/7 na Kucheza Mechi zao Kifitna ili Wafungwe au Watoke Sare tuweze Kuwakaribia bali tujitathmini wapi tumekosea kwa Msimu huu, tujisahahiihishe na tucheze Mechi zetu Kimkakati na tusiruhusu tena Kufungwa au hata kutoka Sare Mechi nyinginezo kuanzia sasa."
 
Acha uongo mkuu.

Ni msimu uliopita tu Yanga ndiyo aliongoza ligi tena kwasababu Simba alikuwa na viporo lukuki....
 
Mechi ipi simba aliyobebwa..

Pia sema ipi alifanyiwa fitina
 
Kwani MWEHU hafatiliwi?Mbna hoja nyepesi hii?Unaweza kumfatilia MWEHU ili ucheke tu kwa vitendo nyake vya kichizi,au pengine ujue tabia za wehu zinakuwaje pindi wakiwa na furaha au hasira.Nawapenda sana WEHU WALIPO NIPO.
 
Kwani MWEHU hafatiliwi?Mbna hoja nyepesi hii?Unaweza kumfatilia MWEHU ili ucheke tu kwa vitendo nyake vya kichizi,au pengine ujue tabia za wehu zinakuwaje pindi wakiwa na furaha au hasira.Nawapenda sana WEHU WALIPO NIPO.
Na huwezi kumjua Mwehu kama nawe siyo Mwehu hivyo nichukue tu nafasi hii kukujua Wewe Mwehu Mwenzangu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…