Upuuzi wa Kocha Pablo wa Simba SC unavyozidi kuisafishia Yanga SC njia ya kuwa Mabingwa wa NBC Premier League kwa 75% mpaka sasa

Na huwezi kumjua Mwehu kama nawe siyo Mwehu hivyo nichukue tu nafasi hii kukujua Wewe Mwehu Mwenzangu.
Siku nikiwa na akili kama zako NAJINYONGA (Nitaiga style ya mashabiki wenu)
 
Unajua wabongo tupunguze ujuaji,,hivi katika football timu gani haifungwi??
Au nyie mlitaka kila mwaka simba achukue ubingwa itakuwa bado ni ligi au ibadilishwe iitwe Simba premier league [emoji848][emoji848]
Ufungwe ukiwa na class players hakuna atakae laumu maana hata Munich anafungwa ,ila sio kufungwa huku una wachezaji wa kawaida ,imefika hatua hata timu vibonde wanajiamini Sana wakutanapo na Simba wakat haikua hivyo ,vitimu vidogo vilikua vinaingia uwanjani kwa waswas na kupata kujiamin katikat ya game ,Sasa kabla ya game Kila kitimu kinajiaminisha kuwa kinaweza mfunga Simba.
Mfano mzuri kwasasa upo kwa timu ya Yanga ,ikatokea wamefungwa hakuna wa kulalamika Sana maana Kila idara wameenea hii mashabik wanaweza sema Ni ajari kazin ila Sio kwa hii Simba ambayo Ina magalasa Kama Mugalu na Bocco.
 
Siku nikiwa na akili kama zako NAJINYONGA (Nitaiga style ya mashabiki wenu)
Huchoki tu Kunishobokea GENTAMYCINE kila mara na kuzidi Kuniongezea Umaarufu ( Fame ) wakati umeshasema hunipendi na mpaka kuniita Mwehu?

Je, kwa Wewe kuendelea Kujibizana nami uliyenita Mwehu na Kuonyesha kutonikubali ( Kunipenda ) unadhani aliye Mgonjwa wa Akili hasa ni nani?

Kumbe ninapowadharau na Kuwajibuni hovyo huwa sikosei / siwakosei.
 
Inawezekana kweli yanga akawa bingwa ila ni mapema sana hata raundi ya pili bado mashabiki wa simba mnawasikiliza wachambuzi ucharwa.
Shida Ni fowards tulizonazo ,hata akil inakataa kwa kikosi kilichopo et kitaleta makali Kama ya msimu uliopita ,Ni kikosi Fulani Cha kuunga unga ,kocha nae haelewek Leo apange hivi kesho vile .

Angalia yanga Wana kikosi Cha Kwanza tayar na wanaokaa bench nao Ni watu haswa.
Rudi Simba ,mfano akiumia hussen et wakuziba pengo Gadiel ,kapombe nae kachoka balaa na mbadala wake Ni mwenda ,katikati wanategemewa akina mzamiru ambae hata control siful ,winga et Morrison mchezaji mbinafs sijapata kuona yeye bila kupiga chenga hajacheza mpira na ndie bingwa wa kupoteza mipira ,nenda mbele una mugalu na kagere ambao wanaruka ruka tu.

Ngoja tuone ujio wa chama hasa kwenye viwanja rafik tuone labda ataleta mabadiriko Fulani lakin swala la ubingwa big no.
 
Wewe unatumwa na mihemuko. Haya tupe takwimu Simba kafungwa mara ngapi ili uipe nguvu hoja yako. Vinginevyo na wewe si shabiki wa mpira bali mpiga kelele tu.
 
Andiko lako lilikuwa zuri..umeharibu pale kumuhusisha Manara (Msukule) na Kufanya vibaya kwa Simba. Hana lolote yule ni mdangaji. Mengine uliyoyaongea ni kweli. Pia kocha sipendezwi na matendo yake njeya uwanja..nina mashaka kama kweli ni "Proffessional Coach" ana madhaifu mengi kama wale makocha wa ligi za mchangani...tusijekuwa tumepigwa na Friends of Simba ( wazee wa recruitment)
 
Hivi pablo hajampigia ndugu yake zidane aje amsaidie?
 
Uwezo wako wa Akili na wa Kubishana nami katika ( Kuhusu ) Soka la Tanzania ( Bongo ) ni mdogo sana hivyo acha Kunipotezea muda tafuta wa 'level' yako tafadhali sawa?
Sawa mkuu,,endelea kupambana na soka la bongo
 
Ishu ya Bocco na watu kama Dilunga kupangwa wakumlaumu ni Matola huyo mseng* watu tunataka matokeo yeye analeta ushkaji!

Jana unashangaa kapanga mastriker wawili halafu kaweka viungo defensive minded, hiyo mipira sijui mbele alitaka iende kwa uwezo wa roho mtakatifu


Simba game zaidi ya 10 bado haina first eleven wakati kila namba inajulikana wachezaji bora!

Halafu viongozi walitaka kumtema Lwanga wakifikiri Kanoute ataziba pengo au? Cha ajabu unataka kumtema Lwanga unamuacha Mugalu!

Pia watu wameridhishwa na kiwango cha Kibu wanasahau ile namba last season alikuwa anacheza Miquison! 😂😂 Simba hii ya wachezaji kama Kibu halafu tunawasifia, ubingwa tushaupoteza.

Mwisho next time Simba ikitimua bench la ufundi ihakikishe pia inamfuta kazi na Matola au inamhamisha nafasi.
 
Kocha hana tatizo mkuu tatizo ni kocha mpya halafu kocha msaidizi ni wa zamani! If you know you know
 
Mkuu utanisamehe nimekutusi kimoyomoyo, Kagere yupi ambaye unamsemea hapa? Huyu huyu top scorer kwa misimu miwili mfululizo au? Huyu huyu aliyekuwa anatokea bench halafu akamaliza na goli 13 au?

Kagere sio tatizo, tatizo ni anaocheza nao, kutoka Okwi, Chama, Miquison mpaka kuwekewa winger Kibu na wakina Dilunga bila shaka ushaona tofauti?

Cha mwisho nikukumbushe tu Kagere ndio top scorer wa Simba msimu huu, acha mihemko.
 
koch anatuangusha sana na upangaji kikosi wake tangu gem ya mbeya city nilishangaa kweli kuona anaweka viungo wakabaji watatu. sjui ana tatizo gani huyu mspain

Sent using Jamii Forums mobile app
 
tumwambie bila kuficha matola aache kuchukua kamisheni kwa akina mugalu ,boko and nk ,umeipa yanga 75percent Basi Mimi 85
 

Tatizo la Simba hawana washambuliaji Hilo ndio kweli. Sio kocha.
 
Dunian Kote lazima mlemavu wa akili hasa ambao wapo kwenye profound stage kama ww lazima wazodolewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…