Upuuzi wa William Malechela Le Mutuz

Le mutuz anaakili m anacheza na vile vitu tunavyopenda kuvisikia umbea umbea wa Ngonongono weeee nothing else ! Raia walikuwa wanasubiri hilo Tamko utadhani wanasubiri tamko la kuchaguliwa kwenda Mbinguni ! Simshangai hana kazi na hizo ndizo dili zake zenye mashiko zinazompa wadhamini na Mtaji wa kushika viuno vya Mabebizzz Mjini !
 
Mmhm project gani jameni diamond kumbaishia zari?? Kweli hiyo SPECIAL PROJECT
 
Reactions: amu

Hahahaaaaa chezea Le Mutuz wewe,Tanzania ilisimama kwa lisaa lizima kusubiria tamko la Le Billionaire....
 
mh kweli kina mama wengine wanasafisha matumbo jamaa asingezaliwa bimkubwa angesumbuliwa na michango.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…