Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
huyu jamaa anajijuaga mwenyewe na akili zake
Joto. .hasira
Heheh Le mutuz ni hazina kwa Tanganyika, atunzwe!
Le mutuz anaakili m anacheza na vile vitu tunavyopenda kuvisikia umbea umbea wa Ngonongono weeee nothing else ! Raia walikuwa wanasubiri hilo Tamko utadhani wanasubiri tamko la kuchaguliwa kwenda Mbinguni ! Simshangai hana kazi na hizo ndizo dili zake zenye mashiko zinazompa wadhamini na Mtaji wa kushika viuno vya Mabebizzz Mjini !