Upuuzi wa William Malechela Le Mutuz

Upuuzi wa William Malechela Le Mutuz

mwaga ubuyu wote hapa hawezi kusema alichojibiwa u know

Uknw lembebiz mkarez miss neddy Mimi ni mtu maarufu sana na nilazima nifatiliwe sana na atakapo leta habari zangu hapa uknw Mimi ndio nazidi kupata hela uknw....biashara ninayo Fanya ni ya utumbo..hivyo sijali..ni mwendo wa bataz....
Super garden mburulaz hawaelewi.....lakini mabebiz wakarez super lemtindiz wananipenda na wananipigia simu niwe nawajibu..hahahahhaha I like it
 
Last edited by a moderator:
Uknw lembebiz mkarez miss neddy Mimi ni mtu maarufu sana na nilazima nifatiliwe sana na atakapo leta habari zangu hapa uknw Mimi ndio nazidi kupata hela uknw....biashara ninayo Fanya ni ya utumbo..hivyo sijali..ni mwendo wa bataz....
Super garden mburulaz hawaelewi.....lakini mabebiz wakarez super lemtindiz wananipenda na wananipigia simu niwe nawajibu..hahahahhaha I like it

Duh ngoja nimfollow, nawaonea gele mnavyofaidi burudan za huyu mdingi, ni zaid ya comedy
 
Last edited by a moderator:
Duh ngoja nimfollow, nawaonea gele mnavyofaidi burudan za huyu mdingi, ni zaid ya comedy

Huna haya ya kumfollow account yake iko open wewe search tu user Id yake ukacheke huko kwa pumba zake.
 
Wataalam wanasema alikuwa na low apgar score.... Less than 7.

Uknw Leo nilialikwa kupiga picha na wabebiz wakarez wenye shule zoa pale Mlimani city uknw...
Supergadem mazafantaz lazima waone wivu hahahahahaha I love it
 

Attachments

  • 1416061282301.jpg
    1416061282301.jpg
    38.6 KB · Views: 528
Uknw Leo nilialikwa kupiga picha na wabebiz wakarez wenye shule zoa pale Mlimani city uknw...
Supergadem mazafantaz lazima wsaone wivu hahahahahaha I love it

Hahaaaa le mbururaaaaaz na mabebz wakareeee fulu mwana waneeee
 
Le tamkozzz from babu ubayaaaz ze limbururaz w j m nimepiga picha kama mia na mabebz wakareeee mliman cty so u knw me mkareee mazasprite
 
Uknw Leo nilialikwa kupiga picha na wabebiz wakarez wenye shule zoa pale Mlimani city uknw...
Supergadem mazafantaz lazima waone wivu hahahahahaha I love it

Here you are my brother you know me love you mingiiii....... Ha ha haaaaaaa!! Picha muhimu you know wao wanachonga Mie naingiza pesa. Bongo ni rahaaaaaazzzzzz, you know hata JK ananipigia simu mtu wangu achana na mnurulaaaaz...... Mabebz wakareeeeee napiga nao picha you know wananiomba.... Ha ha haaaaaa
 
1. Matola mwanaume mzima mwenye watoto wanaokuheshimu sana unasema watakuheshimu zaidi kujua baba yao kazi yako kwenda kwenye instagram za wasiokujua na kuanza kuhamishia JF kwa kutumia jina la bandia na kuanza kuwatukana? Unasema for this watoto wako na mke wako watakuheshimu zaidi?

2. Eti kosa langu ni nini hasa in this case? Kwenda kwenye Instagram yangu kutangaza kwamba nitaweka ukweli kuhusu Diamond na Zari kama wana date au hapana, unasema nimevunja sheria ya nnchi? au unasema nilitumia bastola kuwalazimisha wananchi wengi pamoja na wewe kuja Instagram yangu kufuatilia huu umbeya?

3. Halafu umri wangu mbona unakupa taabu sana maana for sure huujui, mimi nikiwa 60 Mwenyekiti wako wa Chadema atakuwa 75, hahahahahahahaha unanichekesha sana ingawa I love this maana inaniongezea umaarufu zaidi hasa kwenye mitandao ambako ndio kuna 80% ya my investment.

- Otherwise Diamond is my close friend so is Zari and Wema too, na wote ni big Celebs kama mimi U know so lets the movie keep on going, ila umejishusha sana hadhi kwa mwanaume mzima kuingia instagram za wasiokujua na kuanza kuhamisha habari zao kwa majina ya bandia, ingawa najua kwamba unanifuata kwenye isnta yangu kwa sababu mimi ni Big Celeb

- Halafu mnanishaangaza sana mnasema mnanichukia na kwamba sifai na kwamba sina akili, jamani kila siku thread ya mtu msiyempenda inawezekana vipi yaani hii thread nimeona mahali mpaka Philemon Michael amechangia I was like no way daamn yaani nimekuwa this Big of Celebrity U know hahahahahaha and I love iit!!

Le Big Show

mange Kimambi amekukejeli kwenye blogu yake, anasema akili zako zinaendana na akili za Mbuta Nanga na kwamba mnafaa kuoana. Bado hujatoa tamko lako kuhusu kauli hiyo. Watanzania wanasubiri kusikia tamko lako ASAP. MAMBO YA MAKEUP + PLUS MY REPLY TO ZINJANTHROPUS……
 
Here you are my brother you know me love you mingiiii....... Ha ha haaaaaaa!! Picha muhimu you know wao wanachonga Mie naingiza pesa. Bongo ni rahaaaaaazzzzzz, you know hata JK ananipigia simu mtu wangu achana na mnurulaaaaz...... Mabebz wakareeeeee napiga nao picha you know wananiomba.... Ha ha haaaaaa

Hahahahahaha am humbled uknw bebiz mkarez measkron ...uknw Mimi ni mtu maarufu sana na wananchi wananipenda sana uknw...kila siku wananipigia simu na sms kuwa wanafurahi ninavyo wajibu.....supergardem madebe matupu wasio na shule .uknw...unajua Jana nilialikwa kwenye kibao Kata uknw nilishangaa superlemtindiz wanavyo katika uknw....na jumamosi nilialikwa Mlimani city kupiga picha na wahitimu uknw....Mimi ni mtu maarufu..hahahahahahaha I love it
The king of all bongo social media
 

Attachments

  • 1416243604800.jpg
    1416243604800.jpg
    37.3 KB · Views: 630
  • 1416243634948.jpg
    1416243634948.jpg
    43.7 KB · Views: 596
Last edited by a moderator:
Hahahahahaha am humbled uknw bebiz mkarez measkron ...uknw Mimi ni mtu maarufu sana na wananchi wananipenda sana uknw...kila siku wananipigia simu na sms kuwa wanafurahi ninavyo wajibu.....supergardem madebe matupu wasio na shule .uknw...unajua Jana nilialikwa kwenye kibao Kata uknw nilishangaa superlemtindiz wanavyo katika uknw....na jumamosi nilialikwa Mlimani city kupiga picha na wahitimu uknw....Mimi ni mtu maarufu..hahahahahahaha I love it
The king of all bongo social media
Huyu ana mental case.
 
Last edited by a moderator:
mange Kimambi amekukejeli kwenye blogu yake, anasema akili zako zinaendana na akili za Mbuta Nanga na kwamba mnafaa kuoana. Bado hujatoa tamko lako kuhusu kauli hiyo. Watanzania wanasubiri kusikia tamko lako ASAP. MAMBO YA MAKEUP + PLUS MY REPLY TO ZINJANTHROPUS……

Hahahahahaha uknw Mimi ni mtu maarufu hawajui wanapo nitukana ndio ninapozidi kupata hela..
Uknw hao ni madebe matupu hivyo sitaki kuwajibu uknw wote hao walikuwa marafiki zangu na nilishapiga nao picha sana uknw...lakini nimeamua kukaa nao mbali sababu wamekuwa supergadem waswahili ....
Uknw Mimi sasahivi naangahika na maandalizi ya white party na wadhamini wanazidi kuongezaka uknw .....another day another dolls
Hahahahahaha I like it
 

Attachments

  • 1416245576433.jpg
    1416245576433.jpg
    63.6 KB · Views: 668
Baada ya white party...
 

Attachments

  • 1416740375652.jpg
    1416740375652.jpg
    60.6 KB · Views: 631
  • 1416740391722.jpg
    1416740391722.jpg
    49.8 KB · Views: 595
- Nimepiga picha na Omar kwanza Ofisini kwake, pili Kempisk Hyatt na nyingine Serena na nyumbani kwa Davis, wewe kwani umeshawahi hata kumsogelea au unapiga piga flimbi tu hapa weka picha hapa tuone

Le Mutuz
so unapigania kupiga picha na omar...inasikitisha sana
 
By Matola
Kwa nini wananchi wasiambiwe ukweli kwamba mkwe wa Mzee John Malecela, Neema Ngwilulupi Malecela (Field Marshall Es), alipendelewa kupewa kazi katika ubalozi wetu ingawa hakustahili kupewa kazi hiyo?

Kwa nini tunazungumzia ufisadi wa viongozi wengine, na upendeleo wao kuwasaidia ndugu zao, bila mijadala hiyo kufutwa hapa Jamii Forums, lakini tukimzungumzia John Malecela na watoto wake na wakwe zake wanaopendelewa kupata kazi, mijadala hiyo inafutwa mara moja?

Hata watu ambao hawakuamini wana anza kuamini kwamba ni kweli mtoto wa Malecela, au watoto wa Malecela na ndugu zake wengine, wana nguvu inayo wawezesha kufanya uamuzi nini kichapishwe na nini kisichapishwe hapa Jamii Forums kuhusu John Malecela na familia yake. Na ndiyo maana ukweli ulio andikwa hapa jamii Forums kuhusu Neema Ngwilulupi Malecela (Field Marshall Es) uliondolewa mara moja ili wananchi wasijue ukweli huo.

Neema Ngwilulupi Malecela (Field Marshall Es) ana uelewo mdogo sana. Mara nyingi, anashindwa kujibu maswali hata ambayo ni rahisi sana. Au anajibu vingine kabisa na kuandika majibu ambayo hayana uhusiano kabisa na maswali aliyo ulizwa. Akishindwa kujibu maswali, anaanza kuwatukana walio muuliza maswali na ambao wemembana kwa kutumia logic. Kuna hata wana Jamii ambao wameuliza: "Ana akili gani huyu Field Marshall Es"? Yaani Neema Ngwilulupi Malecela. Wengine wameuliza: "Ana elimu gani huyu?"

Ni jambo la kusikitisha.

Jambo lingine la kusikitisha ni kwamba ingawa Field Marshall Es ana tabia ya kuwatukana watu Jamii Forums, hajawahi kuchukuliwa hatua, na matusi yake hayafutwi labda kwa sababu, kama watu wengine walivyosema, kuna mkono wa Malecela katika Jamii Forums unao endesha mijadala, na unao futa mijadala kuhusu familia ya Malecela wanayotaka ifutwe ikiwa yaliyo andikwa kuhusu familia yao hawayapendi ingawa ni ukweli.

Nguvu ya ukoo huo katika Jamii Forums imeonyeshwa pia na William Malecela, mtoto wa Mzee John Malecela ambaye ni mume wa Neema Ngwilulupi Malecela (Field Marshall Es), alipoharibu mjadala kuhusu Dr. Slaa mpaka mjadala huo muhimu ukafungwa.

Huo ubabe wa kuingilia mijadala na kuichafua, na kuwalinda watu ambao wako katika familia ya Malecela ingawa wana tabia ya kuwatukana watu wanao changia Jamii Forums, unaonyesha nguvu ya mafisadi na familia zao na wanavyo wanyanyasa wananchi wa kawaida, na wanavyo fanya kila kitu kuzuia ukweli kuhusu maovu yanayo tendeka na ukoo wa Malecela na viongozi wengine wabaya usijulikane kwa wananchi.

Lakini ukweli haubadiliki, na hautabadilika.
 
- Page 17 Viewers 20,000 wanamjadili a mental case iliyoletwa na wewe Genius, thank you JF I love it, halafu ona hawa wananchi wote wamekuja kwenye show ya mental case, hahahahahahahahahahahahhahahahaa I looove it U know!! - Le Big Show


We uoni kwamba hao wote unafanana nao akili??? Si unasemaga ndege wanaofanana huruka pamoja
 
Back
Top Bottom