William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,584
- 10,400
Eti ni kweli mama kilango anakuamkia shikamoo.au uzushi
Le mutuz babu yangu, u are just no body, ww ni celeb wanna be, unajua maana ya celebrity?? Takin TZ as an eg ni wa TZ wangapi wanaokufaham?? Ww ni poor excuse of old people, ukikaa na watu wakicheka usihisi unawafurahisha sometymes wanakucheka, Umri, muonekano na jina lako vinasalitiwa na matendo yako, I love ur dad he, simfaham mama ako ila I blv she is a true definition of a woman sasa sijui wat went wro g with u, now ndo unakurupuka na kuanza kusaka hela ukiandaa vijiparty vyako visivyo na hadhi, angalia vijana wadogo akina msando wanafanya events unaona, mwangalie hata zari, hata seth nae anakushinda, ulivyo mbea mwanaume ww eti waziri kanipigia simu, sijui kova kaniuliza, sijui mwanasheria wa nani kanipigia shame on uuu, akina Monica wenyewe wamekushindwa and I blv wanakuonea huruma maana wakikukana hadharani unaeza kufa na hio obersity yako
- Sasa nimekuelewa nakumbuka kuna mdada mmoja anyefanya kazi Clouds Media, niliwahi kumblock kule Instagram maneno yako yanafanana sana na maneno yake, pole sana ila mimi ndio Le Mutuz sio tu matamasha ila sasa ni mwendo wa Radio na TV, sasa nakuomba uwaashauri wananchi wote wasiangalie au wasisikilize Radio yetu hahahahahah kama utaweza, wewe ni lile kundi la Miss Tanzania waliofungiwa miaka 2 kwa sababu ya moto wangu so naelewa hasira yako hahahahaha relax hapa hakibadiliki kitu ila mwendo ni ule ule huwa sisingizii viongozi juzi nilikuwa nyumbani kwa waziri mkuu uliona picha U know ndio zangu maneno na matendozzzz U know!!
Le Mutuz
Aisee just one comment u had to reply it twice?? Keep on guessin grand pa but that changes nuthin, U celeb?? Give me a break baba, no body knowa u apart from hao few IG users, kwanza fungua hio TV na Radio then I promise u ntakua wa kwanza kukucheka, then naelewa kwa nn wanawekaga umri wa kustaafu, nimekupa mifano ya kina Msando na Bikira but sijakulinganisha nao babu, and kama hapa TZ ndo unaishi stress free life basi huko Ulipokua unaishi kabla ya TZ ulikua hell, and unafikiri wananchi wanashauriwa kuangalia au kusikiliza, kizuri cha jiuza.. labda hio radio ubaki kwenye utawala maana kama nakuona aibu yako.. F.Y.I ule mnazi uliokojolea naskia unakauka.. then kumbe miss TZ ilikua na kundi?? Na imefungiwa miaka miwili?? Baasi subiri siku wakifunguliwa ujipendekeze.,
- HAHAHAHAH ujumbe umefika mnarukia rukia watu msiowajua unaona sasa hahaha mimi ndio Le Mutuz Nation The King of All Bongo Social Media Network, uliyoyasikia na kuimbishwa hapa sio kweli mimi ndio the real deal sasa nenda utafute maisha yako au endelea kulia lia hapa na majina ya bandia ila mimi mwendo ni ule ule kama kawa kama kawaida!! hahahaha
- Radio na TV zitakuwa ni a big hit kwa sababu nitakuwa na vipindi maalum asubuhi kama ninavyofanya Instagram na Blog, so stay tuned na coming soon
Le Big Show
Hahaha U wish babu,, U wish,, the real deal?? Keep on dreamin utaendelea kua ass licker mpaka ufe, lets wait and see hio the so called big hit, and I promose u Iki heat I will personaly apologise(am sure haitahit) then maisha yangu nayafuata at bru as u claim to know me basi utakua unajua Kua I earn my livin babu.. teh teh teh where were u maskin ujanani saa hii ndo unakurupuka wakat akili ishabuma.. byee babu
Le mutuz babu yangu, u are just no body, ww ni celeb wanna be, unajua maana ya celebrity?? Takin TZ as an eg ni wa TZ wangapi wanaokufaham?? Ww ni poor excuse of old people, ukikaa na watu wakicheka usihisi unawafurahisha sometymes wanakucheka, Umri, muonekano na jina lako vinasalitiwa na matendo yako, I love ur dad he, simfaham mama ako ila I blv she is a true definition of a woman sasa sijui wat went wro g with u, now ndo unakurupuka na kuanza kusaka hela ukiandaa vijiparty vyako visivyo na hadhi, angalia vijana wadogo akina msando wanafanya events unaona, mwangalie hata zari, hata seth nae anakushinda, ulivyo mbea mwanaume ww eti waziri kanipigia simu, sijui kova kaniuliza, sijui mwanasheria wa nani kanipigia shame on uuu, akina Monica wenyewe wamekushindwa and I blv wanakuonea huruma maana wakikukana hadharani unaeza kufa na hio obersity yako
hahahahaha. Aisee .. You know nimeongea na viongozi wakuu wa nchi hii waifungue miss Tanzania wamenielewa teh teh teh le mutuz bana
- Lets say ni kweli unafikiri inapunguza au kuongeza nini in my Super life, mwendo wangu wa maisha ni ule ule mamen pata hii picha juzi usiku with Miss Commonwealth Tanzania/Africa 2014 Super Mulky from UK tulikuwa tunakula bataz za ubatan at Mbezi Beach U know just having fun U know, nataka uelewe kwamba sijawahi kuamuliwa maisha na mtu it is my life and I love it, hupendi si ufe mkuu hahahahaha - Le Mutuz
- Sijawahi kufanya anything kikabuma pole sana ndio maana umebuma cause unafikiria kubuma tu all your life, siku kila ninachofanya huwa kinaleta majibu kwa sababu ninatumia akili nyingi sana kutayarisha kila ninachofanya kuanzia ile Instagram Party ya kwanza Escape One, Miss Ilala Kempisk, All White Party Escape One, ndio mambo yangu always!!
- Kama ninaweza kujaza page 27 JF akili ikiwa imebuma imagine ilipokuwa bado ingekuwaje? hahahahahahahaha ila by the way haya matamasha nilikuwa ninayafanya hata nikiwa majuu!!
Le Mutuz
- Yaap nipo kwenye watsap group ya Viongozi wakuu wa Tanzania, nimeipeleka hii ishu wameielewa na kuna walioahidi kuisimamia bungeni kusudi wafungiwe Kamati tu ya Miss Tanzania na sio wasichana, yes upo right nilisema this!!, infact ni Mbunge Ngeleja aliyeahidi kulivalia njuga bungeni!!
Le Mutuz
Sifa za kijinga hizi wewe ndio ulileta hizi evidence?
Na alimtafuta Siti mpaka akapiga naye picha!Ivi haujawahi piga naye picha?maana nawewe ni Celeb kweli,metoka kwa Sintah u r all over the comments!!
Mimi hizo blog za Sintah na Mange huwa sipitagi kabisa, blog ninayotembelea mimi ni Mjengwa blog tu basi hata kwa Michuzi sipitagi naona napoteza bundle bure.
Yaani!!Haha haaa,kuna mmoja analalamika ulimtukana ananuka papuchi jamani!
Mimi hizo blog za Sintah na Mange huwa sipitagi kabisa, blog ninayotembelea mimi ni Mjengwa blog tu basi hata kwa Michuzi sipitagi naona napoteza bundle bure.
Haha haaa,kuna mmoja analalamika ulimtukana ananuka papuchi jamani!
Kaoshe jicho kuna mambo mengi mengi ya kuosha macho!
Kuna topic ya pili kamwongelea Antie Ezekiel,sasa kuna comment ya mtu ni out of topic(OOF) wanaita,sasa kuna watu wamefunguka...Ok nipitie topic gani? Maana mimi hizi blog mgeni kabisa nitaingia huko sasa hivi kwa ushawishi wako.