Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
- Thread starter
-
- #601
Tatizo promo, sijui ilikuwaje Nay kwenye shika adabu yako akaliacha file la huyu kiumbe!Huu Uzi ulishajifunga tokea April 2015 unauanzisha tena ili iweje mkuu?
Ni kweli ANNE KILANGO anakuamkia?-hahahahahah ok guys nipo busy sana and let me retire now tutaonana another new thread ila hii imetosha I am out now!!
le Mutuz
Kutakuwa kuna kitu ulimfanya sio bure
Wapi huko? Mi alini remove kwa grp yake aiseNiliandika "mmmmh" nikala block
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] aisee hum ndan kuna watu mmeshindkanaNi kweli ANNE KILANGO anakuamkia?
Lemutuz buana fa.la sana aisee baada ya mimi kukuchana kwamba ulikua samakisamaki unang'aza sharubu na sio mbez kama ulivyodanganya on that thread now umekuja na cheap argument Lusaka cheap populality eti ulikamata deal ya kuitangazq samakisamaki
Pumbaaf umeondoka sa saba dk27 na kile kidem kina miwigi mibaya kama kondoo muda wote umekaa unashangaashangaa kama unatafuta basha no one anashoboka na ww Leo unamtangazia ngabu ulilamba deal duu nna wasiwasi na ubongo wako kwakweli
Wewe ni public figure na ni mwanasiasa huna cha kuficha, how old are u?
hili zee halinaga akili!
Like mother alsoLike a Father Like a Son!
Kumbe le mutuz alienda na Lulu kule?Humble man wape na Yale mapicha ya kule Nigeria, ulikokuwa hivi karibuni kwenye awards, wakukome.
- Ratiba yangu ni kesho nitakuwa Mwanza kwa mualiko wa Rockcity Mall at Mwanza for Instagram Party nitarudi Jumatatu, halafu Jumatano ninaondoka tena kwenda Nairobi kwa mualiko wa Citizen TV, nikirudi naelekea South Africa kwa mualiko wa Glenfiddich Whiskey Inc., nikirudi itakuwa ni safari ya Dubai kwa mualiko wa the Official Launch of Clouds Media Cable Channel so nitakuwa busy Internationally na my Social Media works mpaka kati kati ya Mwezi May ndio nitapumzika kidogo hapa home Dar,
- Now jipime tena mkuu una fit wapi in my life, Samaki Samaki nipo nao for the last 2 years, kama ni Wabebezz hao sina tatizo nao tena wa ukweli au unataka nikupe picha hapa niliyekuwa naye jana?
- hii ilikuwa jana na Super Star Actress Mariam at Maisha Basement now tizama ana wigi huyu au wewe ndio umevaa wigi? hahahahahahahahha
- Hii ilikuwa juzi with Super Star Actress Nishe Chande, now hebu angalia tena kama maneno yako ni ukweli maana huwa sina muda na wabebezz wasi wasi hahahahahahahah
le Mutuz
- Wewe si ulisema nina umri kama wa Pinda leo umebadilika tena huujui? hahahahahaha mnanichekesha sana U know!!
le Mutuz
Tupia picharock city mall hali ni tete hapa, FFU wanapiga mabomu ya machozi kuzuia watu waliojaa hadi kufika villa park na the kiss wakitaka kumuona king wa sosho media mwenye ma endorsements ya ajabu .
mkuu, usisahau kupiga picha ukila breakfast ..- Ratiba yangu ni kesho nitakuwa Mwanza kwa mualiko wa Rockcity Mall at Mwanza for Instagram Party nitarudi Jumatatu, halafu Jumatano ninaondoka tena kwenda Nairobi kwa mualiko wa Citizen TV, nikirudi naelekea South Africa kwa mualiko wa Glenfiddich Whiskey Inc., nikirudi itakuwa ni safari ya Dubai kwa mualiko wa the Official Launch of Clouds Media Cable Channel so nitakuwa busy Internationally na my Social Media works mpaka kati kati ya Mwezi May ndio nitapumzika kidogo hapa home Dar,