- So kujiita Dr. na picha ya bandia unasema ndio kuwa na akili? hahahahahaha mbona kama umejisema mwenyewe kuwa ni mburulazzz maana mtu mwenye akili hawezi kujiiita DR. na picha ya bandia akitumia jina la bandia, unasema una akili mkuu? kama unazo basi sizitaki tena hahahahahaha
le Mutuz