Upuuzi wa William Malechela Le Mutuz

- Lakini vipi ni Degree au degree si ujibu kwanza ndio upate authority ya kuuliza au? hahahahahahah

Le Mutuz

Ni degree. You don't capitalize the first letter of a word in the middle of a sentence without a reason justified by the known laws of the language in question.

What is your reason for requiring capitalization?

Back to you.

Ni Windhoek Larger au Windhoek Lager?
 
- hahahahaha ona mbuluazzzz mwngine huyu hapa mazafantazzzzz so wewe unazo lakini umekuja kumsoma na kumjibu asiyekuwa nazo? hahahahahahhaha le gademu mburulazzzzz

Le Mutuz

Le gademuz mazafanta u know!!.
Le madebe matupuz u know
 
- The King of All Bongo Social Media Network U know, nimechaguliwa kuwa mmoja wa Viongozi Wakuu wa Tanzania Bloggers Association ikiwa na maana pamoja na JF, sasa utafanya nini utajitoa hapa au? hahahahahahahahahahahaha

Le Big Show

Hahaha sasa kule Inst ulitublock vip huku mkuu
 

- Kwa hiyo popote unaweza ukakulupuka ukasema degree? Hiyo ndiyo shule ile ya Kansas City au hahahahahaaaa

Le Mutuz
 
Hahaha sasa kule Inst ulitublock vip huku mkuu

- Nimesema na ninarudia tena ukitaka kuandika ujinga wowote kunihusu njoo huku au nenda FB au nenda kwenye wall yako Insta, ila kwenye Insta yangu hakuna hiyo nafasi kipi usichoelewa hapo?

Le Mutuz
 
le mutuz naomba kupiga picha na wewe....

Hahahahahaha uknw nitaangalia kama timetable itaruhusu maana kuna watu wengi wana subiri kupiga picha na Mimi tena mabebiz wakarez super lemtindiz. ...nawapenda hadi nasinzia uknw...hahahahahaha I like it!
 

Attachments

  • 1415809091567.jpg
    41.1 KB · Views: 400
- Nimesema na ninarudia tena ukitaka kuandika ujinga wowote kunihusu njoo huku au nenda FB au nenda kwenye wall yako Insta, ila kwenye Insta yangu hakuna hiyo nafasi kipi usichoelewa hapo?

Le Mutuz

Uknw nawaombea msamaha uwarudishe unajua wewe ni mtu maarufu hawawezi kulala bila kusikia letamkoz kutoka kwa King of all social media hahha I love it!
 

Mkuu wagu nakushuru sana kwa kuandika gazeti lote hili hii ina maana sindano imekuingi haswaa.

Nimebanwa kidogo na majukumu usiku huu ila nakuacha na swali ulijibu ili tuendelee na mjadala nikimaliza majukumu, unatushutumu kwa kutumia fake ID kutukana watu sasa swali langu kwako kati ya mimi Matola fake ID na William Malecela verified user ni nani kati yetu ni mmiliki wa ID ya Field Marshal Es? Hii ni ID ambayo imetumika muda mrefu hapa JF kumtukana matusi Rais Kikwete na pia inahusika na utapeli wa ajila za ughaibuni. Sasa leo nakuacha uchi watch the show.

Nikifika home kwenye pc nitaweka mabandiko yote ya Field Marshal hapa, na ukumbuke thermometer ina degree 100 na kazi yake inaishia kwenye kikwapa.

Cc: Kiranga Tyta
 
Last edited by a moderator:
- Kwa hiyo popote unaweza ukakulupuka ukasema degree? Hiyo ndiyo shule ile ya Kansas City au hahahahahaaaa

Le Mutuz

Nimekuuliza ni kanuni gani inayotaka neno degree liwe capitalized hapo? Hujanijibu.

Nimekuuliza ni "Windhoek Larger" au "Windhoek Lager" hujanijibu.

I have never been to Kansas City in my life.

Nikafuate nini?
 

Asante mkuu show ndio imeanza wapi Le mbululazz, Le big six Pack tuendeleze show
 
Last edited by a moderator:
Nimekuuliza ni kanuni gani inayotaka neno Degree liwe capitalized hapo? Hujanijibu.

Nimekuuliza ni "Windhoek Larger" au "Windhoek Lager" hujanijibu.

I have never been to Kansas City in my life.

Nikafuate nini?

Labda nimsaidie tu kwa msaada rahisi ni kwamba tunalazimika kuanza kwa herufi kubwa tunapoanza sentensi na kama ni katikati basi ni jina la mtu.

Na kimantiki hata kama ingekuwa kweli degree katikati ya sentesi inastahili herufi kubwa bado haujatoka kwenye mstari kuliko yeye anayecomfuse Larger na Lager.

Huyu ni dhahiri hajawasoma Thomson na Thompson enzi za ujana wake.
 
Asante mkuu show ndio imeanza wapi Le mbululazz, Le big six Pack tuendeleze show

Aisee naona una hamu ya ligi kwelikweli,mimi pia natamani ila sidhani kama Le Mutuz atakubali....
 
Nimekuuliza ni kanuni gani inayotaka neno Degree liwe capitalized hapo? Hujanijibu.

Nimekuuliza ni "Windhoek Larger" au "Windhoek Lager" hujanijibu.

I have never been to Kansas City in my life.

Nikafuate nini?


Hahha we nae uking'ang'aniaga kituu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…