Upweke umemzidi anahitaji mtu

Upweke umemzidi anahitaji mtu

Atakayeenda kutembea na huyo mke wa mtu, ajiandae kabisa na mafuta kwe kibegi chake maana linda lake litakua hatarini. "Mke wa mtu ni sumu"
Huyo dada kama anaona hajaliwi na mumewe si aombe talaka tu awe free kutafuta mume mwingine, why anamtaka na huyo asiyemjali?
 
Atakayeenda kutembea na huyo mke wa mtu, ajiandae kabisa na mafuta kwe kibegi chake maana linda lake litakua hatarini. "Mke wa mtu ni sumu"
Huyo dada kama anaona hajaliwi na mumewe si aombe talaka tu awe free kutafuta mume mwingine, why anamtaka na huyo asiyemjali?
Ndalama tuu itakuwa jamaa hagegedi vizuri ila pesa ipo
 
Ndalama tuu itakuwa jamaa hagegedi vizuri ila pesa ipo
Mkuu unajua hadi ndalama? 😂 sasa kama pesa anazitaka ajue hawezi kupata vyote aridhike, mume mwenye pesa means yupo busy kuzitafuta ili zisipungue so automatically atapunguza kujali as hana muda . So aelewe tu
 
Mkuu unajua hadi ndalama? 😂 sasa kama pesa anazitaka ajue hawezi kupata vyote aridhike, mume mwenye pesa means yupo busy kuzitafuta ili zisipungue so automatically atapunguza kujali as hana muda . So aelewe tu
Mnaelewaga hilo nyie bwana...ndio binadamu in general tulivyo....always wanting more and more. Mgegedo anataka na pesa anataka ndio maana tunaposema mbususu yako ukiwa nayo kitandani tumeona mengi. Huwezi ukawa watafuta pesa alafu watu wasikugegede mke
 
Shughuli yeyote inayoingiza kipato?

Kwa mara ya kwanza wazee wa kubeti tumelegezewa kamba, fursa mlangoni tushindwage sisi tu

Wait...umesema ni mke wa mtu?
 
Ni mke wa mtu but kutokanana na mumewe kutokujali anahitajika mwanaume kwa ajili ya kumuondoa upweke,kuhusu yeye yuko na miaka 27,ni mjasiriamali.
Mwanaume anaehitajika awe na shughuli yoyote ya kumuingizia kipato na awe na umri wa miaka 32 mpaka 50.
Serious man inbox me

Sasa jamani Mke wa mtu anahitaji mwanamme/mcheluko mwenye shughuli yoyote. Yeye si anataka kutimiziwa haja zake basi hiyo shughuli ya nini tena
 
Serious nilikuwa nataka nimtoe upweke, ila mke wa mtu [emoji849],
nduki nene[emoji2089][emoji2089]
Sasa kama yamemshinda si aombe talaka halafu apate huyo wa kutoa upweke vizuri[emoji848]
 
Unataka utolewe upweke ukiwa ni mke wa mtu bado unaweka kigezo cha awe na shughuli yoyote ya kumuingizia kipato!
Wadangaji siku hizi mna style nyingi sana za kuuza papuch
 
Ni mke wa mtu but kutokanana na mumewe kutokujali anahitajika mwanaume kwa ajili ya kumuondoa upweke,kuhusu yeye yuko na miaka 27,ni mjasiriamali.
Mwanaume anaehitajika awe na shughuli yoyote ya kumuingizia kipato na awe na umri wa miaka 32 mpaka 50.
Serious man inbox me

IMG_0425.png

[emoji1787]
 
Ni mke wa mtu but kutokanana na mumewe kutokujali anahitajika mwanaume kwa ajili ya kumuondoa upweke,kuhusu yeye yuko na miaka 27,ni mjasiriamali.
Mwanaume anaehitajika awe na shughuli yoyote ya kumuingizia kipato na awe na umri wa miaka 32 mpaka 50.
Serious man inbox me
Kwa hiyo unataka kuchepuka? Ushimdwe na ulegee!
 
Mleta uzi mpweke badoo au anaubaguzii[emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom