Palina
JF-Expert Member
- Oct 9, 2021
- 3,551
- 9,522
opoa chombo hikoWewe ujataja umri wako ingekuwa ni vizuri ukataja na umri wako kama ulivyotaja kwa mwanaume unayemtaka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
opoa chombo hikoWewe ujataja umri wako ingekuwa ni vizuri ukataja na umri wako kama ulivyotaja kwa mwanaume unayemtaka
opoa chombo hiko
Hapana me nimeongea hivyo ili imrahihishie muhitaji mimi ninapenda kuwa na wanawake niliyowazidi umri au tunaolingana au kama kanizidi basi mwaka 1-3 basi kwa Mtoa mada kama kapita vigezo vyangu maana mimi nipo Kati ya 25-27opoa chombo hiko
Niko Dear, uje unisaidie kwenye biashara ya Kitimoto.!Upweke umenichosha, nahitaji boyfriend kama tukielewana, tufunge ndoa takatifu Kwa wakati sahihi.
Mume wa mtu haitajiki.
Umri uwe 28 mpaka 30..
Awe na kazi au kitu anachoshughulika nacho kumuingizia kipato.
Asiwe mrefu kupitiliza.
Atoke mkoa wowote tu. Mengine tutaelezana pm.
Kwa aliye serious tu tafadhali.
ppa ulipie tangazo na wewe😅😅Hapana me nimeongea hivyo ili imrahihishie muhitaji mimi ninapenda kuwa na wanawake niliyowazidi umri au tunaolingana au kama kanizidi basi mwaka 1-3 basi kwa Mtoa mada kama kapita vigezo vyangu maana mimi nipo Kati ya 25-27
ppa ulipie tangazo na wewe😅😅
Sasa hapo tangazo lipo wapi au ukumbuki umeniuliza nini?ppa ulipie tangazo na wewe😅😅
we una umri gani? nisije kuja PM kumbe jimama la 50yrs?Upweke umenichosha, nahitaji boyfriend kama tukielewana, tufunge ndoa takatifu Kwa wakati sahihi.
Mume wa mtu haitajiki.
Umri uwe 28 mpaka 30..
Awe na kazi au kitu anachoshughulika nacho kumuingizia kipato.
Asiwe mrefu kupitiliza.
Atoke mkoa wowote tu. Mengine tutaelezana pm.
Kwa aliye serious tu tafadhali.
si hio miaka yako ulotaja hapo juuSasa hapo tangazo lipo wapi au ukumbuki umeniuliza nini?
Poa ngoja nikupm...Upweke umenichosha, nahitaji boyfriend kama tukielewana, tufunge ndoa takatifu Kwa wakati sahihi.
Mume wa mtu haitajiki.
Umri uwe 28 mpaka 30..
Awe na kazi au kitu anachoshughulika nacho kumuingizia kipato.
Asiwe mrefu kupitiliza.
Atoke mkoa wowote tu. Mengine tutaelezana pm.
Kwa aliye serious tu tafadhali.