Upweke umenichosha, nahitaji boyfriend

Upweke umenichosha, nahitaji boyfriend

Upweke umenichosha, nahitaji boyfriend kama tukielewana, tufunge ndoa takatifu Kwa wakati sahihi.

Mume wa mtu haitajiki.
Umri uwe 28 mpaka 30..
Awe na kazi au kitu anachoshughulika nacho kumuingizia kipato.
Asiwe mrefu kupitiliza.
Atoke mkoa wowote tu. Mengine tutaelezana pm.
Kwa aliye serious tu tafadhali.
Niko Dear, uje unisaidie kwenye biashara ya Kitimoto.!
 
Hapana me nimeongea hivyo ili imrahihishie muhitaji mimi ninapenda kuwa na wanawake niliyowazidi umri au tunaolingana au kama kanizidi basi mwaka 1-3 basi kwa Mtoa mada kama kapita vigezo vyangu maana mimi nipo Kati ya 25-27
ppa ulipie tangazo na wewe😅😅
 
Nimepungukiwa vigezo tu hasa kwenye umri,,,but najua umedhamilia kabxa legeza kigezo tuyajenge
 
Upweke umenichosha, nahitaji boyfriend kama tukielewana, tufunge ndoa takatifu Kwa wakati sahihi.

Mume wa mtu haitajiki.
Umri uwe 28 mpaka 30..
Awe na kazi au kitu anachoshughulika nacho kumuingizia kipato.
Asiwe mrefu kupitiliza.
Atoke mkoa wowote tu. Mengine tutaelezana pm.
Kwa aliye serious tu tafadhali.
we una umri gani? nisije kuja PM kumbe jimama la 50yrs?
 
Ukisoma comments jobless mapovu yanawatoka [emoji1787],
Wakati mpo chuo mlikua mnawang'oa kwa Wali Maharage na Mihogo ya Buku, mmekuja Kitaa kila Mwanamke kigezo AWE NA KITU KINACHOMUINGIZIA KIPATO [emoji23][emoji23]

Vijana, Tafuteni HEEEEEEEEEEEE......LAAAAAAAAAAAAA.
 
Upweke umenichosha, nahitaji boyfriend kama tukielewana, tufunge ndoa takatifu Kwa wakati sahihi.

Mume wa mtu haitajiki.
Umri uwe 28 mpaka 30..
Awe na kazi au kitu anachoshughulika nacho kumuingizia kipato.
Asiwe mrefu kupitiliza.
Atoke mkoa wowote tu. Mengine tutaelezana pm.
Kwa aliye serious tu tafadhali.
Poa ngoja nikupm...
 
Back
Top Bottom