Upweke umenichosha nahitaji mwanaume mwenye 43-55

Kibe 10 mm nipo nitakutowa stress achana na wazee 55 wanafamilia zao wanategemewa ao wengine wanasomesha wengine Wana wajukuu
This shit is out of use pal....looking forward for aniversaries.......
 
Kibe 10 mm nipo nitakutowa stress achana na wazee 55 wanafamilia zao wanategemewa ao wengine wanasomesha wengine Wana wajukuu
This shit is out of use pal....looking forward for aniversaries.......
 
D
Dada shikamoo. Umeshapata Mme tayari lakini. Kuna baba Yangu mdogo aligombana na Mke wake wakaachana. Kimila za kwetu mwanamke akikupiga hautakiwi uishi naye tena ni laana kubwa matambiko so ninapenda uwe mamdogo
 
Ulikuwa unachagua wanaume mpaka ukagonga 40? Ili upate chapchap sema aje mwanaume yoyote ila asiwe mume wa mtu.
 
Mcheki humphrey polepole
 
Muhimu mapenz ya dhati umri namba Kama namba nyengine mm hapa nnjoo kwangu hakika hutojutia kwnz tutakaa tutaishi kwa amani upendo furaha na pia tutashauriana na kusaidiana mawazo kwenye mambo yamaisha vipo vingi hata hutopata usumbufu tutaishi vizuri tu nawasilisha ombi langu
 
Miaka 40, mwanaume wa nini?!
 
Ila wanawake huwa mnatuona sisi kama makatuni vile, yaani mnatufanyia USAILI kabisa. Mnatukosea sana Adabu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Sio wote walikuwa wanawakaushia wana mtaa! wengine waliachika na kufiwa pia!! acha kuhukumu!! Mshukuru Munugu kama wewe uko kwenye ndoa imara mpaka Sasa!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…