Upweke unauma, natafuta mwenza

Utampata usijar na upweke wako utakwisha kuwa mvumilivu tu
 
Kwahiyo mleta mada nianze kumuita wifi?[emoji6]
 
Wanyamwezi jamaani bahati ya mtende hiyo!!
 
Hakuna siri hapo, ni ukweli ulio bayana[emoji23][emoji23][emoji23]
Wacha weeh, kwaiyo ukaona ntafaidi sana kwenda kuishi Mbezi ukaona uniharibie.
Wewe kile kigezo chako cha "Pesa mbele kama tai" sikiwezi kwakweli.
 
Mungu kaumba aisee hivi MTU unawezaje kupenda mwenye mwonekano wowote? ahaaaa inna nikijipitisha na pande langu LA mwanaume unaanza kunikodolea, never write something under stress, itakucost.

Ila wadada tuna unafiki, si kasema hata kilema sawa ajitokeze uone.

Kukosoa uumbaji wa mungu ni dhambi ushaandika yote hayo sentence ya mwisho ilibidi uachane nayo nina uakika sicho kilicho moyoni mwako.

😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁 nalog off.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…