Upwiru wa dakika tano ulivyobadilisha Maisha yangu

Upwiru wa dakika tano ulivyobadilisha Maisha yangu

😀😀
Ngoja Vijana wa Forex waje, yupo mmoja hapa
Huo mji nimeamua kuukimbia tangu nikutane na mtoto anayetumia Vipipi kulamba koni.

Nikasema ukisikia mtu anakabidhi hati za mashamba na nyumba ndiyo mimi leo.

Isingekuwa kutumia uzoefu wangu wa mwaka 47 vilikuwa vinaenda 🤪🏃🏃🏃
 
Huo mji nimeamua kuukimbia tangu nikutane na mtoto anayetumia Vipipi kulamba koni.

Nikasema ukisikia mtu anakabidhi hati za mashamba na nyumba ndiyo mimi leo.

Isingekuwa kutumia uzoefu wangu wa mwaka 47 vilikuwa vinaenda 🤪🏃🏃🏃

😂😂
 
Laiza na tanzanite yake
Robati na fasihi yake

Hyo robati itamke kama mtu aliyeathiriwa na lafudhi ya aR republic
 
Kichwa cha juu kimeumbwa na ubongo,

Kichwa cha chini kimeumbwa na chongo,

Uki kifuata utavuruga michongo,

Utavunjika guu, utatumia magongo.

Tumia akili kujua maana ya kichwa, usiwaze kichwakichwa.
 
Back
Top Bottom