Baba_Enock
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 7,076
- 2,457
Baada ya kuwa mywaji wa BIA kwa takribani miongo minne huwa najiuliza ni kwanini mtu anakukuta baa - hujamwalika wala hajakualika mnasalimia anakaa meza yake na baada ya muda anakuagizia kinywaji - "waiter/dada mpatie yule jamaa bia moja"! Huu utaratibu ni urafiki wa kweli au ni upumbavu au ni ishara ya nini?
Sijawahi kupata jibu - Naomba kuuliza!!!
Sijawahi kupata jibu - Naomba kuuliza!!!