Kenya ina afadhali, Rwanda ipo kojasusi na kipelelezi Kwetu. Kagame sijui anataka nini.
Rais Samia Suluhu unapotaka kuitembelea Rwanda Kuwa Makini na Rais Kagame. Kagame ni solid Dictator na mwona mbali mno kuliko kiongozi yeyote Africa hii. Ukiongeanaye na kukubaliananaye ukimpa kisogo anakumaliza.
Rwanda kwa mipango yake hiyo imechomeka majasusi nchi jirani zake mbalimbali. Yupo tayari kutumia majasusi wa kike Malaya kupeleleza au kuua viongozi wakuu wa nchi hizi na wapinzani wake waishio huko.
Kagame anapeleleza Sana mifumo ya ulinzi wa nchi jirani. Jirani akizubaa tu, huchomeka vijana wake ktk mafunzo ya kijeshi ya nchi husika na kijifanya raia wa nchi hiyo. Pia hutaka kutumia fursa za rasilimali za nchi jirani. Congo ni waathirika wakubwa Sana japo sisi pia hatupo salama kwani anatusaka kwa kutupeleleza usiku na mchana.