Urafiki na Rwanda vs Urafiki na Kenya upi una Manufaa Kwa Tanzania?

Mama afungue njia upande wa kusini na central kuanzia Msumbiji, DRC, Angola Malawi, Zambia mpaka Namibia na Botswana.. huko kuna population kubwa na mahitaji mengi...tukiweza kuwaleta hapa na watu wetu wakafika huko kibiashara basi mambo yanaweza kuwa murua kuanzia uchumi wa jumla na wa watu mmoja mmoja..
 
Mimi Kama Mkenya Napenda comment Zenu Watz,Hivi karibuni naona uhusiano wetu uki kua kabisa kuliko enzi za kitambo,Tukiendelea hivi Tutakuwa Kama Canada and USA ya Africa,God Bless🔥🔥
 
Kagame huyu huyu aliyefundishwa ujasusi monduli ndio wa kuivimbia Tz?
 
Ujamaa ulituharibu sana.
 
Rwanda wilaya tu ya Ifakara ndo iwe mbadala wa Kenya? Alafu huyo mtu ni wa kukaa nae mbali. Si alitudhulumu huyo mtu?
 
Tz/ Kenya = Ssc/Yanga ...unapoungana na mpinzani utapata wapi nguvu ya kushindana!? Ili ufike pale alipo na ikibidi umshinde ... Kijiografia/rasilimali Sisi na Congo ni mijtu mikuu sana ila hatujajielewa tuu !
 
Ashatupata kitambo. Kuna uwezekano mmoja wa watu wake walishawahi kuliongoza taifa
 
Kisiasa Tanzania, Kenya na Rwanda zaweza kujadiliwa na kulinganishwa kama nchi.
Kiuchumi Rwanda kuwekwa kundi moja ni ujinga.
Kuna wapumbavu wanaojidanganya kuwa Rwanda yaweza kuwa tishio kwa Tanzania na kuipa sifa za kijinga. Hicho ni kitu kisichowezekana. Ni lini paka aliwahi kushindanishwa na tembo?
Rwanda kwa kundi lake la vinchi vidogo ipo vizuri, lakini isilinganishwe na Tanzania au Kenya
kwa vyovyote vile zaidi ya siasa na diplomasia.
Hata kijeshi, Tanzania itahitaji muda mfupi tu kuisambaratisha Rwanda kwa sababu ya wingi wa rasilimali (watu na vifaa).
 
Kila nchi ni muhimu kwa upande wake. Mfano kama lengo ni udikteta na unyanyasaji basi Rwanda ni muhimu. Ila kama lengo ni uchumi na demokrasi kiasi basi Kenya ni muhimu, kwa hiyo inategemea tunahitaji urafiki na uhusiano wa aina gani
 
Kenya ni ndugu zetu wa damu. Hawa wachaga na wapare unaowaona ni wakenya waliohamia kutoka Kenya kutoka katika makabila ya wakamba na wakikuyu. Na bado tumeunganishwa na kiswahili. Pia ndo nchi ya 5 kwa kuwekeza nchini, hivyo inasaidia kuinua uchumi
 
Kenya ni ndugu zetu wa damu. Hawa wachaga na wapare unaowaona ni wakenya waliohamia kutoka Kenya kutoka katika makabila ya wakamba na wakikuyu. Na bado tumeunganishwa na kiswahili. Pia ndo nchi ya 5 kwa kuwekeza nchini, hivyo inasaidia kuinua uchumi
Ni Nchi ya 2 kuwekeza nchini na sio ya 5.
 
Niko na baba yako hapa anechora 7,nina mpaka whitedent apate ubaridi afirike siku nzima.

Ana kitu tight kinyamaaa.
Utajua tu shoga linalowashwa linavyong'ang'ania wanaume. Kafie mbele mkundu kunuka wewe
 
Utajua tu shoga linalowashwa linavyong'ang'ania wanaume. Kafie mbele mkundu kunuka wewe
Niko na baba yako hapa amechora 7,nina mpaka whitedent apate ubaridi afirike siku nzima.

Ana kitu tight kinyamaaa.
Shoga ni mama yako ninae mfira kila siku
Na bora kua mpumbavu kuliko kua shoga kama wewe.
Mnaharibu thread mbona ilikuwa vzr tu
Haiependezi kutukanana wazazi kisa tu Kenya na rwanda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…