alikiba bana,nimecheki akihojiwa na soud akasema hataki stori zinazohusu maisha yake binafsi kwa sababu anapenda maisha yake yawe private,soudy alivomjinga akamuuliza “kwanini ?” [emoji23] yani kwa kifupi soudy ni mchokozi sana
Kama kiba aliweza kumla gigy money unashangaa Nini kwa divaNimeshangaa sana sikumtegemea
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] usiniambie unamchukia na Mange eti
Na video za kugegedana na kakaako ukawa nazo ??? [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]So hizi texts ndio zinaonesha km walikuwa wapenzi? Mbona ni za kawaida? Naweza chat hv na kaka yangu View attachment 1419778
Ambaye hayupo sawa kichwani ni Ali Kiba sio Diva.
Mtu yoyote mwenye akili timamu huwezi kuwa na mahusiano na diva.
Diva huwa anaangalia,..upepo unakoelekea..inshort Ni bendera fata upepo..
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mwee, sasa weye wampenda nani.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sijawahi kuwa fan wa mange eti
gwamaka yupi ?Sasa kwa Gwamaka kulikuwa na upepo gani kipindi kile, au ndio ile mastaz ya mwamba! 🤣🤣🤣
Crazy GKgwamaka yupi ?
kwani kuna nini kinaendelea wakuu??
Chadema is no more my friend kimebakia kuwa chama cha twira.CCM inaelekea kufa kifo cha Mende
Nikajua Gwamaka T.O mmoja alisoma Mzumbe secCrazy GK
Yah wangempa kibuti🤣🤣🤣 kwa swala hili la mume wa mtu ingekuwa ni nchi za dunia ya kwanza kipindi chake kingepoteza credibility kingefutwa au wangemfuta