Urafiki wa Ali Kiba na Divathebawse umekufa rasmi? Wanasaikolojia msaidieni huyu dada

Urafiki wa Ali Kiba na Divathebawse umekufa rasmi? Wanasaikolojia msaidieni huyu dada

Watu wa saikolojia msaidieni huyu dada hayupo sawa kichwani,inasemekana ule urafiki wa wawili hawa msanii Ali kiba na mtangazaji wa clouds Diva haupo tena,diva inasemekana ndio chanzo cha wasanii killy na cheed kutoka ktk kundi la kingsmusic.Ktk page yake ya Instagram mwanadada huyo amepost baadhi ya screenshots zinazoonesha kuwa walikuwa ktk mahusiano na msanii huyo,baada ya kuvurugana majeshi yamehamia kwa kondeboy,post hizi hapaView attachment 1419768View attachment 1419770View attachment 1419771View attachment 1419772View attachment 1419773View attachment 1419774

Sent using Jamii Forums mobile app
Aya
 
Wafuate ila kitakachowapata msije kunililia[emoji41]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] daah hii kauli imenikumbusha kitu, ulivyoiongea sasa utafikiri wewe ni jini.
 
Sijawahi kuexperience hii kitu, mi nnachojua kufanya mapenzi na mke/mme wa mtu ni jambo la hatari na la laana kubwa ndio maana sikuzote huwa siri, sasa huyu Diva a.k.a #Kigagula katuletea jambo jipya, hii confidence sijawahi iona popote duniani. Yaani yuko proud kabisa kut*mbwa na mume wa mtu hadi anautangazia umma na ametuahidi kutuletea picha za chumbani[emoji39] kama bwana Kibakuli ataleta fyokofyoko. Hii imekaaje mwalimu Kashasha maana mi sielewi?!View attachment 1420502

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa jinsi nilivyomuelewa diva anafeel proud kugongwa na alikiba thats why kaamua aseme ili watu wajue kuwa nae kagongwa na kiba

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom