Jama ni msharati wa harari
Sent using Jamii Forums mobile app
alikiba bana,nimecheki akihojiwa na soud akasema hataki stori zinazohusu maisha yake binafsi kwa sababu anapenda maisha yake yawe private,soudy alivomjinga akamuuliza “kwanini ?” [emoji23] yani kwa kifupi soudy ni mchokozi sana
Sent using Jamii Forums mobile app