Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hadi yako aliikataa?Mm niliwahi kusema kwa umalaya diamond atadubir Sana kwa kiba watu wakabisha sema Alikiba ni msir Sana alafu baadh ya waandish Wana muogopa Ila machafu ya kiba ni mengi Sana mpaka Basi kiba amesha kataa mimba nying Sana
Sent using Jamii Forums mobile app
😀😀Diva na mange wana undugu. Wakipanic ni shida wanadondosha magazeti haooo na maushahidi ya kila aina
Kwa Mara ya kwanza leo umeongea pointHili lidada uwa ni lichizi, Lilimlazimishaga Diamond ukaribu na likamtaka Kimapenzi akalitolea nje
Kiba alichoaribu ni kukubali mazoea na ukaribu nalo
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Diva na mange wana undugu. Wakipanic ni shida wanadondosha magazeti haooo na maushahidi ya kila aina
Clouds walifanya kosa kubwa Sana kumuajiri huyu dada huyu dada anawachafulia taswira kwa Jamii.Huyu ni Media Personality..
Upuuzi mtupu
Mastaa wetu wanapenda kula mataputapu mweh! Bora sisi tule kuku wetu wa kienyeji Mbagala tu. Vimwalimwali vya kijijini.
Unapga kitoto kimetoka ngende, cheusi tiii mpaka kisimi imekaa kama hirizi,
kimejaa shanga na chale za kutosha, unakula na ndimu!
nikavumilia mwishoni, nkamuuliza "unamjua Mshanajr wa msata,"
Na chenyewe kwa kujifanya kijanja kinasema nilisoma naye ila yeye alikuwa na akili kafaulu kaenda sekondari... [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Heshima yako brother[emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app