Urafiki wa Ali Kiba na Divathebawse umekufa rasmi? Wanasaikolojia msaidieni huyu dada

Urafiki wa Ali Kiba na Divathebawse umekufa rasmi? Wanasaikolojia msaidieni huyu dada

SIKU ZOTE UKIFANYA UBAYA KWA WENZIO JIANDAE UBAYA KUKURUDIA TENA,HAWA JAMAA NA CLOUDS WANAZINGUA SANA
 
Watanzania rudini shule sasa hicho ulichoandika ndio kimeandikwa kwenye huo ujumbe

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ndio urudi shule "pumbavu" kiingereza Cha ugoko tu umeshindwa kuelewa unakuja eti nirudi Shule sema nikutafsirie ili uelewe.Ashasema as friend and low key lovers zaid Ya Hapo unataka uambiweje na wasanii wa Kiba walikua wanamuita mama.
 
Mmmh wahurumie kwa jirani wanatamani kulia EP imedoda[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Haya ndio madhara ya kuingia instagram kabla hata ujanawa uso na kupiga mswaki.
Endelea kulala,mwanamke mwenzio anachanja mbuga,
No wivu tu huo.

son of almighty God.
 
Nimemfuata Girlfriend wangu hapa salon, namsubiria kwa hapa nje nawasikia huko ndani wana kikao kikali.
 
Hahahaha Mfalme Helodi amekula mzigo haha


Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Back
Top Bottom