Urafiki wangu na huyu mwanamke sasa unanilipa

Urafiki wangu na huyu mwanamke sasa unanilipa

No such thing as love

Human beings are hypocritical,they thrown in a word "love" kumbe wamepata watu wa kuwafanyia vitu vya bure to further their lives hii inajumlisha aidha huduma,au pesa,au emotional support,etc

Sisi wa tunaoamini selfishness is a a virtue tofauti na nyie wanadamu wanafiki,tunasema ili tupendane ni lazima maslahi yetu yawe complimentary,two way ticket

Hakuna mtu anapendwa hivi hivi tu,ni lazima approve his value to you na your value to her kuhalalisha hii transaction,otherwise ni stupidity

Just like this we are seeing here!
Ukiweka na kiinglishi inakolea zaidi eeeh

Sent from my SM-J610F using JamiiForums mobile app
 
Mkuu,wewe umeona English tu?

Mbona tunakua kama na phobia hivi na English?

Wewe mzalendo sana ee?Mbona huzungumzi lugha ya kijijini kwenu unapotoka?Unaongea Kiswahili cha Pwani cha Wazaramo na Waarabu ambacho si chako kwa asilia?

Umekikuta na kukimeza kama kilivyo

Mimi Kichagga ndio nina emotion nacho,ila hivi vingine vyote iwe English,Kiswahili,sijui Kifaransa,sijui Kigogo,etc naviona kama nyenzo tu za survival kunirahisishia kufikia malengo yangu nayotaka,mengine sina mpango nayo,sio lugha zangu ni za watu wengine,naziazima tu,I dont claim anything!
Mkuu jokes tu,mimi mwenyewe nachojua kwa ufasaha ni kiswahili tu sijui iyo English,kichina kireno kijapan nasikia tu na kudandia dandia ata kichaga sikijui kabisa japo kwetu ni kibosho kati dakau pale kwa Rafael

Sent from my SM-J610F using JamiiForums mobile app
 
Subiri siku genye zimpande then aje hapo geto amekuvalia kanga moko kama utamuacha! Ndiyo utajua mbuzi na chui hawafugwi zizi moja
 
JavaScript is disabled. For a better experience, please enable JavaScript in your browser before proceeding.
 
wakuu kumbe urafiki kati ya mwanaume na mwanamke unawezekana tena bila kupigana kizinga hau kutongozana, nina rafiki angu wa kike ambae nimejuana nae takribani sasa mwaka ni mtu wa mkoa flani babati huko sasa tumekuwa na urafiki wa karibu mno licha ni mwanamke mrembo haswa kama unavyowajua wanawake wa babati haswa wairaq uwa ni warembo mno sana japo mwanzoni mwa urafiki wetu nilikuwa nikipitia kipindi kigumu sana
Mm,unachekelea laki moja na ufuska,haya bwana.Tulia tafuta binti uoe.
 
Dah....nawaambia hatutoboi..... 🤣🤣🤣🤣🤭
 
Back
Top Bottom