Uraia pacha huenda ndiyo sababu ya Sababu vita ya wenyewe kwa wenyewe Sudan

Uraia pacha huenda ndiyo sababu ya Sababu vita ya wenyewe kwa wenyewe Sudan

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Kila mmoja lazima ashangae kuzuka vita vya mara kwa mara nchini Sudan. Hii ni nchi ya kiislamu na ina wasomi wengi wa hali ya juu wa dini hiyo.

Kumbe ina raia jumla 16000 wa Marekani wengi wao wakiwa ni raia pacha, yaani nusu ni wamarekani na nusu ni wasudan. Wakati vita vimepamba moto raia hao wamekuwa wakipiga simu kwa ubalozi wa Marekani nchini Sudan wakitaka wapelekwe huko. Hata hivyo baada ya Marekani kuhamisha wafanyakazi wa ubalozi wao Khartoum raia hao wengine wameambiwa kila mmoja ajitafutie namna yake ya kujiokoa.Hakuna mpango wa serikali ulioandaliwa kwa ajili yao.
Majenerali wanaopigana sasa walikuwa ni washirika wakubwa wa Omar Albashir ambaye mwanzoni alitawala kwa kushirikiana na mwalimu wake Hassan Alturabi na baadae akamuweka pembeni. Mwaka 2019 baada ya chokochoko za muda mrefu dhidi ya utawala wa albashir eti unawauwa waafrika na unalazimisha sharia, hatimae majeneral Burhan na Hemedti walikula njama na kumpindua Albashir.

Mwaka 2021 baada ya mapinduzi hayo wakampindua tena kibaraka wa Marekani aitwaye Hamdouk. Mwaka huu tena majenerali hao wametiwa fitna na kupigana wenyewe kwa wenyewe kitu kinachoonekana ndio kimeimaliza kabisa Sudan. Hakuna mwelekeo wa kiislamu wala wa kidemokrasia. Wanachi wamekata tamaa kabisa.

<iframe width="400" height="500" frameborder="0" src=""></iframe>
 
Nmetoka kusoma taarifa kuwa baada ya maafisa wa barozi na familia zao kupelekwa ethiopia soon itaondoa raia wake na kuwapeleka kenya.
 
Mkuu sababu wewe una nasaba za kiarabu,bas hutaki kuamini omar bashir na janjaweed walikua wanaua waafrika north darfur.Mkuu upo dunia ipi? Au umepumbazwa na nasaba za kidini kwahiyo huamini machafu ya waarabu wa sudani na machotara wao kwa kushirikiana na wanubi na waabeshi dhidi ya wabantu?
 
Kila mmoja lazima ashangae kuzuka vita vya mara kwa mara nchini Sudan.Hii ni nchi ya kiislamu na ina wasomi wengi wa hali ya juu wa dini hiyo.
Kumbe ina raia jumla 16000 wa Marekani wengi wao wakiwa ni raia pacha,yaani nusu ni wamarekani na nusu ni wasudan. .Wakati vita vimepamba moto raia hao wamekuwa wakipiga simu kwa ubalozi wa Marekani nchini Sudan wakitaka wapelekwe huko. Hata hivyo baada ya Marekani kuhamisha wafanyakazi wa ubalozi wao Khartoum raia hao wengine wameambiwa kila mmoja ajitafutie namna yake ya kujiokoa.Hakuna mpango wa serikali ulioandaliwa kwa ajili yao.
Majenerali wanaopigana sasa walikuwa ni washirika wakubwa wa Omar Albashir ambaye mwanzoni alitawala kwa kushirikiana na mwalimu wake Hassan Alturabi na baadae akamuweka pembeni.Mwaka 2019 baada ya chokochoko za muda mrefu dhidi ya utawala wa albashir eti unawauwa waafrika na unalzamisha sheria hatimae majeneral Burhan na Hemedti walikula njama na kumpindua Albashir.
Mwaka 2021 baada ya mapinduzi hayo wakampindua tena kibaraka wa Marekani aitwaye Hamdouk.Mwaka huu tena majenerali hao wametiwa fitna na kupigana wenyewe kwa wenyewe kitu kinachoonekana ndio kimeimaliza kabisa Sudan.Hakuna mwelekeo wa kiislamu wala wa kidemokrasia .Wanachi wamekata tamaa kabisa.

<iframe width="400" height="500" frameborder="0" src=""></iframe>

Marekani kutamu mkuu.Ni nchi takatifu ile.Kila mtu analilia kwenda.
 
Bashir ni shetani lile liliharibu sudan siku likinyongwa itakuwa safi
 
Kila mmoja lazima ashangae kuzuka vita vya mara kwa mara nchini Sudan. Hii ni nchi ya kiislamu na ina wasomi wengi wa hali ya juu wa dini hiyo.

Kumbe ina raia jumla 16000 wa Marekani wengi wao wakiwa ni raia pacha, yaani nusu ni wamarekani na nusu ni wasudan. Wakati vita vimepamba moto raia hao wamekuwa wakipiga simu kwa ubalozi wa Marekani nchini Sudan wakitaka wapelekwe huko. Hata hivyo baada ya Marekani kuhamisha wafanyakazi wa ubalozi wao Khartoum raia hao wengine wameambiwa kila mmoja ajitafutie namna yake ya kujiokoa.

Hakuna mpango wa serikali ulioandaliwa kwa ajili yao. Majenerali wanaopigana sasa walikuwa ni washirika wakubwa wa Omar Albashir ambaye mwanzoni alitawala kwa kushirikiana na mwalimu wake Hassan Alturabi na baadae akamuweka pembeni. Mwaka 2019 baada ya chokochoko za muda mrefu dhidi ya utawala wa albashir eti unawauwa waafrika na unalzamisha sheria hatimae majeneral Burhan na Hemedti walikula njama na kumpindua Albashir.

Mwaka 2021 baada ya mapinduzi hayo wakampindua tena kibaraka wa Marekani aitwaye Hamdouk. Mwaka huu tena majenerali hao wametiwa fitna na kupigana wenyewe kwa wenyewe kitu kinachoonekana ndio kimeimaliza kabisa Sudan. Hakuna mwelekeo wa kiislamu wala wa kidemokrasia. Wanachi wamekata tamaa kabisa.

<iframe width="400" height="500" frameborder="0" src=""></iframe>

Mmeona hiyo video watu mnapenda kuishi barabarani na maeneo ya kambi ya Jeshi. Shauri yenu. Pia nimejifunza kukimbilia vijijini nchi inapokuwa na dalili za kukosa usalama.
 
Bashir ndio ameiharibu sudan kwa asilimia kubwa
Nashangaa wababe wa vita walioasi walishindwa kumtandika risasi
Hapana,ni watangulizi wake na utamaduni wa waarabu kuendeleza chuki,udini,ukabila ndio viliharibu nchi.Hakuna wababe wa vita bali wanamgambo tu kule sudan.
 
16000 ndiyo nusu ya watu wa Sudan?
Hao raia 16000 wamarekani nchini Sudan zaidi ya nusu ni raia pacha.Hatari kubwa hiyo.
tukisema nusu wamarekani na nusu ni wasudan ndio maana ya raia pacha.
 
Waarabu na dini yao ndio jamii ya watu wa hovyo,wajinga na wapumbavu duniani kote- wakifuatiwa na Waafrika.

Angalia Nchi za Ulaya na Asia Nchi zao zimetulia hamna vurugu but Nchi za Kiarabu zote ni matatizo Duniani kote.
 
Mkuu sababu wewe una nasaba za kiarabu,bas hutaki kuamini omar bashir na janjaweed walikua wanaua waafrika north darfur.Mkuu upo dunia ipi? Au umepumbazwa na nasaba za kidini kwahiyo huamini machafu ya waarabu wa sudani na machotara wao kwa kushirikiana na wanubi na waabeshi dhidi ya wabantu?
Wewe sikujui ukoje lakini nadhani mimi na wewe hatuna tofauti.Jambo muhimu hapo naona unajichanganya sana na huelewe au umelewa ujinga.Waarabu na waafrika unawezaje kuwatofautisha hasa kule Sudan.
Naamini hao wanaopewa uraia pacha ndio wenye mawazo kama ya kwako na kwa vile wanaitwa raia wana ushawishi mkubwa kuingiza ujinga wao katika jamii.
 
Back
Top Bottom