Uraia pacha huenda ndiyo sababu ya Sababu vita ya wenyewe kwa wenyewe Sudan

Uraia pacha huenda ndiyo sababu ya Sababu vita ya wenyewe kwa wenyewe Sudan

Kila mmoja lazima ashangae kuzuka vita vya mara kwa mara nchini Sudan. Hii ni nchi ya kiislamu na ina wasomi wengi wa hali ya juu wa dini hiyo.

Kumbe ina raia jumla 16000 wa Marekani wengi wao wakiwa ni raia pacha, yaani nusu ni wamarekani na nusu ni wasudan. Wakati vita vimepamba moto raia hao wamekuwa wakipiga simu kwa ubalozi wa Marekani nchini Sudan wakitaka wapelekwe huko. Hata hivyo baada ya Marekani kuhamisha wafanyakazi wa ubalozi wao Khartoum raia hao wengine wameambiwa kila mmoja ajitafutie namna yake ya kujiokoa.

Hakuna mpango wa serikali ulioandaliwa kwa ajili yao. Majenerali wanaopigana sasa walikuwa ni washirika wakubwa wa Omar Albashir ambaye mwanzoni alitawala kwa kushirikiana na mwalimu wake Hassan Alturabi na baadae akamuweka pembeni. Mwaka 2019 baada ya chokochoko za muda mrefu dhidi ya utawala wa albashir eti unawauwa waafrika na unalzamisha sheria hatimae majeneral Burhan na Hemedti walikula njama na kumpindua Albashir.

Mwaka 2021 baada ya mapinduzi hayo wakampindua tena kibaraka wa Marekani aitwaye Hamdouk. Mwaka huu tena majenerali hao wametiwa fitna na kupigana wenyewe kwa wenyewe kitu kinachoonekana ndio kimeimaliza kabisa Sudan. Hakuna mwelekeo wa kiislamu wala wa kidemokrasia. Wanachi wamekata tamaa kabisa.

<iframe width="400" height="500" frameborder="0" src=""></iframe>


Hivi ni nchi ngapi za Kiafrica zina uraia pacha? Nigeria, Zimbambwe, Tunisia, Zambia, Kenya, Carpe Verde, Angola, Algeria....Na nyingine nyingi...nadhani ziko kama 12 hadi 15.

Kila tatizo la nchi zetu zinapotafutiwa majibu rahisi hatutafika fika popote! Nadhani hata uozo wa ripoti ya CAG inaweza kuwa ni Marekani.Hivi matatizo ya Nigeria/Kenya ambazo zina maelfu ya watu wake wenye uraia pacha wa nchi nyingi za ulaya unasababishwa na Marekani? Lazima tuwe serious ndugu zangu, kutotambua matatatizo kunaweza kuwa ni swala la msingi kwa nini Africa tunakwama mpaka leo! Matatizo mengi sasa hivi katika nchi zetu, ni kwetu sisi wenyewe, hakuna mkono wa mtu toka nje! Na hata kama upo ni sisi wenyewe kwa ujinga na njaa zetu tumefungulia mlango!

Kama kweli ni Marekani ndi sababu, basi katuzidi akili waafrika! Kwa nini basi angalau tusijifunze kutoka kwa hyo Marekani kwa nini ana uwezo wa kutungombanisha!
 
Wewe sikujui ukoje lakini nadhani mimi na wewe hatuna tofauti.Jambo muhimu hapo naona unajichanganya sana na huelewe au umelewa ujinga.Waarabu na waafrika unawezaje kuwatofautisha hasa kule Sudan.
Naamini hao wanaopewa uraia pacha ndio wenye mawazo kama ya kwako na kwa vile wanaitwa raia wana ushawishi mkubwa kuingiza ujinga wao katika jamii.
Mkuu kakae Khartoum ndio utajua nimewezaje kuwatofautisha waarabu,wanubi na waabeshi kule Sudani.
 
Hivi ni nchi ngapi za Kiafrica zina uraia pacha? Nigeria, Zimbambwe, Tunisia, Zambia, Kenya, Carpe Verde, Angola, Algeria....Na nyingine nyingi...nadhani ziko kama 12 hadi 15.

Kila tatizo la nchi zetu zinapotafutiwa majibu rahisi hatutafika fika popote! Nadhani hata uozo wa ripoti ya CAG inaweza kuwa ni Marekani.Hivi matatizo ya Nigeria/Kenya ambazo zina maelfu ya watu wake wenye uraia pacha wa nchi nyingi za ulaya unasababishwa na Marekani? Lazima tuwe serious ndugu zangu, kutotambua matatatizo kunaweza kuwa ni swala la msingi kwa nini Africa tunakwama mpaka leo! Matatizo mengi sasa hivi katika nchi zetu, ni kwetu sisi wenyewe, hakuna mkono wa mtu toka nje! Na hata kama upo ni sisi wenyewe kwa ujinga na njaa zetu tumefungulia mlango!

Kama kweli ni Marekani ndi sababu, basi katuzidi akili waafrika! Kwa nini basi angalau tusijifunze kutoka kwa hyo Marekani kwa nini ana uwezo wa kutungombanisha!
American phobia
 
Diplomats na familia zao ndo walikuwa wa muhimu na ndo maana cease fire imelazimishwa.
Hao wengine watajijua
Thamani yao kwa Marekani si kubwa sana.Kama wameleta fitna nchini humo wacha wale matunda ya fitna zao.
 
Hivi ni nchi ngapi za Kiafrica zina uraia pacha? Nigeria, Zimbambwe, Tunisia, Zambia, Kenya, Carpe Verde, Angola, Algeria....Na nyingine nyingi...nadhani ziko kama 12 hadi 15.

Kila tatizo la nchi zetu zinapotafutiwa majibu rahisi hatutafika fika popote! Nadhani hata uozo wa ripoti ya CAG inaweza kuwa ni Marekani.Hivi matatizo ya Nigeria/Kenya ambazo zina maelfu ya watu wake wenye uraia pacha wa nchi nyingi za ulaya unasababishwa na Marekani? Lazima tuwe serious ndugu zangu, kutotambua matatatizo kunaweza kuwa ni swala la msingi kwa nini Africa tunakwama mpaka leo! Matatizo mengi sasa hivi katika nchi zetu, ni kwetu sisi wenyewe, hakuna mkono wa mtu toka nje! Na hata kama upo ni sisi wenyewe kwa ujinga na njaa zetu tumefungulia mlango!

Kama kweli ni Marekani ndi sababu, basi katuzidi akili waafrika! Kwa nini basi angalau tusijifunze kutoka kwa hyo Marekani kwa nini ana uwezo wa kutungombanisha!
Madhara yao usiyaangalie kwa upande mmoja tu.Wengine wanashughulika na kuleta vurugu wapate mali na wengine wanapenda watu wawe mashoga.Nini alichokuwa akipambana nacho Robert Mugabe wa Zimbabwe na mwishowe wajinga wakasahau uzalendo wake katika kuleta uhuru wa nchi hiyo huku wakiweka mbele maslahi ya nchi za Ulaya.
 
Madhara yao usiyaangalie kwa upande mmoja tu.Wengine wanashughulika na kuleta vurugu wapate mali na wengine wanapenda watu wawe mashoga.Nini alichokuwa akipambana nacho Robert Mugabe wa Zimbabwe na mwishowe wajinga wakasahau uzalendo wake katika kuleta uhuru wa nchi hiyo huku wakiweka mbele maslahi ya nchi za Ulaya.
Amii: Nadhani jamaa yangu ndiye aliyeangalia upande mmoja.....Kwamba ni Marekani....Je ameiangalia Historia ya Sudan kwa ndani wake? Nimeonyesha mifano ya Nchi nyingi yenye uraia pacha, matatizo ya ndani ni mengi mno! Africa naona bado tunakwama kwenye blame other factors.....kwenye kila kitu! Hiyo inaanza kuwa ni tatizo jingine! Tunakosa kabisa ujasiri wa kukabiliana na matatizo tunayo yazaa sisi wenyewe!

Mtazamo wangu binafsi matatizo mengi ya Nchi za Kiafrica ( almost 70%) Hayana mkono wa nchi za nje!
 
Itakuwa hujaweza kuwatofautisha.Wahabeshi ni kutoka Ethiopia.
Mkuu hadi wasomali na koo zao zote ni jamii za wahabeshi na wamesambaa mpaka Sudani ya sasa,Erteria ya sasa na Dijbout ya sasa.Tofauti ilianza walipopokea ujio wa wageni katika himaya zao miaka zaidi ya 3000 ndio wakagawanyika.Kabla hata Ethiopia haijawa miliki kubwa na falme yenye nguvu na kabla maeneo yao hayajavamiwa na Wamisiri wa kale na Wanubi na Warumi na Waarabu na Waajemi.
 
Mkuu hadi wasomali na koo zao zote ni jamii za wahabeshi na wamesambaa mpaka Sudani ya sasa,Erteria ya sasa na Dijbout ya sasa.Tofauti ilianza walipopokea ujio wa wageni katika himaya zao miaka zaidi ya 3000 ndio wakagawanyika.Kabla hata Ethiopia haijawa miliki kubwa na falme yenye nguvu na kabla maeneo yao hayajavamiwa na Wamisiri wa kale na Wanubi na Warumi na Waarabu na Waajemi.
Hapo umeonesha ukubwa wa tatizo.Pale unaposema waarabu kwa waafrika ndipo ninapoona umejichanganya.
 
Back
Top Bottom