Uraia pacha huenda ndiyo sababu ya Sababu vita ya wenyewe kwa wenyewe Sudan

Umeandika blah blah tu....

Chanzo cha mzozo ni Vita vya madaraka baina ya hao majenerali wajinga hayo ya uraia pacha ni pumba tu.
 
Umeandika blah blah tu....

Chanzo cha mzozo ni Vita vya madaraka baina ya hao majenerali wajinga hayo ya uraia pacha ni pumba tu.
We umeongea point kabisa, sasa kila kitu kiko wazi, jamaa wameona wanakaribia kuachia madaraka, waka amua kutangwana mbabe awe yeye ndie kusema, sasa kama wao wenyewe wanagombania madaraka je wangeweza kuwapatia raia kweli ........!?
Halafu mtu anakuambia ni raia pacha kweli.
 
Watu wenye kugombea madaraka hawako Sudan pekee na wala si kuwa wasudan wana akili za kipekee.Kuna kitu kilichojificha na kwa mtazamo wangu ni chokochoko za raia pacha ambao ni wengi sana nchini humo.Marekani pekee ina karibu 16000 na nchi za Ulaya zina idadi kubwa. Ndio utaona kitu kidogo Sudan kinakuzwa sana na hao raia pacha. Kuna dada mmoja alikuwa hataki kuvaa hijabu wakati wa Omar albashir na akawa anavaa suruali,mpuuzi mmoja huyo alikuwa ni mada dunia nzima.Kila walichofanya Sudan hawakuweza kumnyamazisha.
Kwa ushamba wao wasudan walio wengi wakishaingia Ulaya hutaka yale ya Ulaya yafanyike Sudan japo dini ya Sudan hairuhusu hivyo.Huwezi kutenganisha vita vya mara kwa mara vya Sudan na chokochoko za kutoka nje zinazoletwa na raia pacha.
 

Acha uongo, Vita vya sudani ni vya madaraka. Muda wa serikali ya kiraia umefika ndio maana hao janjaweed wameamua kupigana.
 
Acha uongo, Vita vya sudani ni vya madaraka. Muda wa serikali ya kiraia umefika ndio maana hao janjaweed wameamua kupigana.
Kila sehemu inakuwa hivyo hivyo.Hiyo nia ya kugombea madaraka ndiyo inayochochewa na watu wanaokuzunguka.Wanajifanya washauri na wataalamu wa mambo fulani kumbe ni CIA na MOSAD.
 
Hakuna cha raia pacha wala nn tukubali tukatae waafrika tuna akili za hovyo na hilo linadhihirishwa na kinacho endelea Sudan.
kumbe we ni muafrika, sasa kwa nini unapenda ugomvi wa kidini?
 

Watawala wengi wa Afrika hawana adabu kwa wananchi wao, acha tu vurugu kama hizi ziibuke ili tuone panapovuja.
 
Pole sana.
Pole ya nini wakati Mimi sijatangaza msiba wala sijakumbwa na janga lolote lile????
UKWELI MCHUNGU KUHUSU WAAFRIKA ni kwamba, migogoro mingi ya kibinadamu inayowakumba inatokana na uzuzu walionao pamoja na watawala wao kukosa adabu kwa wananchi au raia wa nchi zao. Wewe hujiulizi, ni kwa nini nchi za ki-Afrika zimemezwa na zimwi la vita vya wenyewe kwa wenyewe miaka yote bila kukoma?? Kwa nini?? Mbona vita kama hivi havipo ktk nchi za mabara mengine kama vile barani Ulaya au Amerika?? Kwa nini vita daima zipo ktk nchi za ki-Afrika zaidi??? Majibu ya maswali yote haya ni kwamba Waafrika wengi zaidi ni mazuzu na watawala wao ktk nchi hizi Wana viburi, na wamekosa heshima na adabu kwa wananchi wao wanaowatawala hivyo kusababisha misuguano isoyoisha.
 

Mkuu Mulholland,

Waafrika hawapendi kukubali na kusikia unayayosema, tumepata Uhuru almost miaka 60, mwanzoni labda ungesema mkono wa hao watu weupe ulikuwa juu yetu, lakini ukweli mkubwa uzuzu wa Waafrika ndani ya nchi zetu ndio mbaya wetu! Kwa sasa hivi almost 70% ya matatizo yetu ni ya kujisababishia!

Ni mtu mweupe anayeleta corruption katika nchi za Kiafrica? Hiyo mikataba mibovu, je tunashikiswa bastola kichwa kuikubali? Elimu na Wataalamu wetu mpaka sasa hawana uwezo wa kusoma mikataba na kuona imekaaje kwa faida ya Nchi? Ni nani wa kumtegemea basi kuja kubadili mfumo wa elimu zetu?

Kila kitu ni Marekani....Mabeberu.....hii ndio imekua njia rahisi sana ya kuhamishia kiini cha matatizo yetu. Hatutaki kabisa kujiuliza kiini na kupata ufumbuzi.

Tunashindwa kubuni mifumo imara katika kila nyanja! Hivi tutegemee nini sasa! Huyo Mmarekani na Mabeberu wao wanangalia maslahi yao.....Huku kwetu maslahi ya watawala ndio yanasukuma nchi.....Mabeberu wanaangal;i mbali sana! Sisi Kalenda ya uchaguzi ndio upeo wa viongozi wetu kufikiri! Hakuna mipango suistananble kitaifa! Kila kiongozi anajaribu kuanza upya kila baada ya miaka mitano! Unategemea nini!
 
Kila sehemu inakuwa hivyo hivyo.Hiyo nia ya kugombea madaraka ndiyo inayochochewa na watu wanaokuzunguka.Wanajifanya washauri na wataalamu wa mambo fulani kumbe ni CIA na MOSAD.

Nchi nyingi za Kiafrica zimepata uhuru miaka ya 60, kama mpaka leo wameshindwa kutambua kwamba "zinachochewa na watu wanaowazunguka" , basi ni uzuzu wa hali ya juu! Nani wa kumlaumu hasa.....Yaani taasisi zetu zimeshindwa kujua huyu ni Mosad au CIA mpaka leo.......Zinashindwa kujua huu ni mkataba bomu....! Huu ni msaada wa kutulalia tu....Ujue Waafrica tuna mtindio wa ubongo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…