Lusungo
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 28,259
- 41,416
Amezungumzia kero na pia kasema kuna mambo mengi sana ya kujadili kwenye hii katiba, sio mambo ya muungano tu.
Hakutakuwa na uraia wa nchi mbiliu bali kutakuwa na haki ya wazawa kupewa haki za uraia ili kupunguza usumbufu.
Ngoma itakuwa pale kwa wale watakaoambiwa walete passport zao halafu zinaandikwa place of birth Afghanistan, hapo unakuwa umepoteza haki ya kuzaliwa .
Mkuu Lukosi miongoni mwa mambo ambayo JK alishauriwa na ilitegemewa ayatamke wazi ni pamoja na hili la uraia pacha but hajafanya hivyo...
Vigogo wengi wa foreign affairs wamepigania hili mpaka wamekata tamaa sasa ilitegemewa kete ya mwidho JK amalize kalikalia kimya sasa je nani atamfunga paka kengele?