Kingmairo
JF-Expert Member
- Apr 7, 2012
- 4,936
- 3,542
Kama Balali tu hakuwa na uraia pacha alitukimbia hivihivi kweupe mchana, sasa hawa viongozi wetu mafisadi si watatumalizia rasilimali na kutukana kabisa wao sio watanzania? Kwa maadili ya Taifa hili yalivyo sasa hivi kwa kweli tuliangalie vizuri hili jambo la uraia pacha!