The problem ya hii issue ni ufinyu wa knowledge kwa ccm hasa kikwete na kundi lake juu ya benefits za dual citizenship. The truth is more true wealth Tanzanians live abroad na facts zipo. Fact moja wapo ni kwamba most of Tanzanians abroad work really hard and save their money for future/retirement investments.
Why Tanzanians abroad support dual citizenship ni sababu moja kubwa wanaweza kuja Tanzania na ku-invest na kurudi wanapoishi ili kuendelea na maisha huko. Hii ni benefit kubwa kwa nchi na kwa sisi economist tunaita low cost stimulus kwa ajili ya uchumi wa nchi na politically itasaidia hata chama kilichopo madarakani, lakini jk anaonekana kutojua hili. The truth ni kwamba Watanzania wengi walio na massive cash in foreign banks hawataki tu kurudi Tanzania na kufungua biashara kubwa kama banks au ku-invest viwanda bila ya kuwa na legal/power to protect them, hii inamaanisha ukiwa na uraia wa US mfano na ukarudi Tanzania kufanya biashara ni kwamba huna power kama ukiwa na both citizenships. Serikali ya Tanzania itaendelea kudharau umuhimu wa kuwa na dual citizenship mpaka hapo watakapofunguka macho na kuona losses zilizotokea kwa muda mrefu, blind can really see...?
Hili swala tunalolifuatilia zaidi tunaona kikwete na membe wanacheza nalo kwa sababu tu wanataka kuwakomesha Watanzania wengi walio nje ya nchi mbao kiukweli wana knowledge ya politics na wameelimika na kamwe hawata vote ccm na this is true and facts about the issue I don't think anything else. Kwa kifupi taifa litaendelea kuchukua hii loss kwa muda mrefu ujao. The other facts here tusisahahu jinsi gani millions Watanzania walio nje ya inchi wanatuma kwa ndugu zao Tanzania kwa ajili ya matumizi ya elimu, afya, vyakula, kilimo na huduma zingine inchini (from US alone estimate $50,000,000 = TZ shil. 80 trillion yearly), bado hujagusa UK. Hii ndio free stimulus kwa serikali ya Tanzania na sio mkopo wala negotiations za deals. Haya ccm hawayaoni ila ni ku-block for political benefits.
Taifa litaendelea ku-lose talents, investments, best skills, leaders, technologies and many more solutions
ccm keep up na itikadi zenu tunajua jinsi gani Taifa lina suffer. Who will rather be Tanzanian national in this kind of circumstances?