Mulhat Mpunga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 27,256
- 16,317
SHANGA NA WEWEMlijuwa atakosa?
Mzee hyu Kijana 0-35, 36--- mzeeeJune 15, 1979 (age 37)
Kakuzidi wewe mwaka mmoja!!Huyo ni Jeventus tu....Wa pale TorinoNa wewe 36 kibibi mhn mbona bado mbichi jamani.
acha Roho mbayaDuhh kibibi kumbe
HahahahahahahaKakuzidi wewe mwaka mmoja!!Huyo ni Jeventus tu....Wa pale Torino
Kumbe kala ugar wa kutoshaJune 15, 1979 (age 37)
Unaonekana mtalaam na mjuzi wa haya mambo eeeeh?Na huu ndio umri wanawake wanakuwa na mitekenyo zaidi huko Kibindoni.
Khaaa roho mbaya gani Dada anguacha Roho mbaya
Sauwa ni mbichi Dada angu samahaniNa wewe 36 kibibi mhn mbona bado mbichi jamani.
binti wa miaka 36 kumwita kikongweKhaaa roho mbaya gani Dada angu
Hahaaaaa kweli mnajifariji kihvyobinti wa miaka 36 kumwita kikongwe
Kindimba juu hhahahahNi mmatengo wa liparamba wilaya ya mbinga
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]Kindimba juu hhahahah
Mweeeeeehh ejooooohh!Ni mnyakyusa flani hivi wa huko masoko tukuyu