URAIBU (ADDICTION)
Ni ugonjwa wa kimwili kiakili na kiimani ambao huathiri nyanja zote za maisha yetu, Ugonjwa huu unaweza kuwa ni wa kurithi, wa kupandikiza au hujitokeza na kukua kwa sababu za mazigira ya kijamii na kiuchumi
Aina za Uraibu
1. Kuna uraibu wa vitu kama vile Pombe, Madawa, Gundi, Tumbaku, Mirungi, Ugoro,Chakula, Fedha nk
2. uraibu wa shughuli/Tabia kama vile kazi, kamari, ngono, mazoezi, Kununua au kutumia hela, kufanya makosa ya jinai, Kuangalia TV, kutumia mitandao ya kijamii nk
3. kuna uraibu wa fikra ambao ni kujiona sahihi, kuktaa kukosolewa, woga, kuangazia,
4. Uraibu wa Hisia ambao ni Wivu, Hasira, chuki, hofunk
5. uraibu wa watu ambao ni kimapenzi, mahusiano, marafiki, makundi nk
Tafiti zinaonesha kuna aina zaidi ya 40 za uraibu
Madhara ya Uraibu
Endapo uraibu anakuwa hai (Active addiction) madhara yafuatayo yanaweza kujitokeza
kushindwa kufikiri kwa usahihi, msongo wa mawazo, kuchanganyikiwa, kukosa usingizi, kutumia fedha nyingi, kuacha au kuachwa na mpenzi mke au mume, kushindwa kula, kupoteza hamu ya tendo la ndoa, wizi na udokozi, jinai, ugomvi, vurugu, kushindwa kumiliki na kuishia kama watu wengine wanavyoishi, na mwisho wake huwa ni kufungwa jela, au kwenda kuta misaada ya madaktari wa afya ya akili na kufa
Nitajuaje kama mimi ni Mrabu
Dalili kubwa ya kwanza ni
Kuangazia (Obsessive behaviour) Endapo kuna vitu, watu, sehemu, au jambo ninaliwaza sana na nashindwa jinsi ya kufikia lengo hilo inaweza kuwa ni dalili mojawapo
Kulazimisha mambo ay matendo ili kufikia lengo, Ninaposhindwa kuchukuliana na jamabo la kawaida na kulamisha nifanye ninavyotaka mimi na kunisababishia maumivi ya akili mwali na nafsi pia ni dalili ya kuwa na maradhi ya kiraibu
Ubinafsi, endapo ninaharibikiwa na kila ninapoelezwa ninakataa ukweli kwamba nina tatizo mfano kuangalia mpira juda mrefu, kuchelewa kurudi nyumbani, kunywa pombe kupita kiasi na kutumia dawa za usingizi au za kulevya kama sehemu ya maisha yangu pia ianaweza kuwa ni dalili ya maradhi ya kiraibu
kushindwa kumili utumiaji wangu kama vile ngono, ulevi, kazi, fedha nakadhalia
Je nifanye Nini ili nijijue sasa lkwamba nimeathirika
Tunaweza kuwasiliana kwa simu
+255 713 806 726
Ni ugonjwa wa kimwili kiakili na kiimani ambao huathiri nyanja zote za maisha yetu, Ugonjwa huu unaweza kuwa ni wa kurithi, wa kupandikiza au hujitokeza na kukua kwa sababu za mazigira ya kijamii na kiuchumi
Aina za Uraibu
1. Kuna uraibu wa vitu kama vile Pombe, Madawa, Gundi, Tumbaku, Mirungi, Ugoro,Chakula, Fedha nk
2. uraibu wa shughuli/Tabia kama vile kazi, kamari, ngono, mazoezi, Kununua au kutumia hela, kufanya makosa ya jinai, Kuangalia TV, kutumia mitandao ya kijamii nk
3. kuna uraibu wa fikra ambao ni kujiona sahihi, kuktaa kukosolewa, woga, kuangazia,
4. Uraibu wa Hisia ambao ni Wivu, Hasira, chuki, hofunk
5. uraibu wa watu ambao ni kimapenzi, mahusiano, marafiki, makundi nk
Tafiti zinaonesha kuna aina zaidi ya 40 za uraibu
Madhara ya Uraibu
Endapo uraibu anakuwa hai (Active addiction) madhara yafuatayo yanaweza kujitokeza
kushindwa kufikiri kwa usahihi, msongo wa mawazo, kuchanganyikiwa, kukosa usingizi, kutumia fedha nyingi, kuacha au kuachwa na mpenzi mke au mume, kushindwa kula, kupoteza hamu ya tendo la ndoa, wizi na udokozi, jinai, ugomvi, vurugu, kushindwa kumiliki na kuishia kama watu wengine wanavyoishi, na mwisho wake huwa ni kufungwa jela, au kwenda kuta misaada ya madaktari wa afya ya akili na kufa
Nitajuaje kama mimi ni Mrabu
Dalili kubwa ya kwanza ni
Kuangazia (Obsessive behaviour) Endapo kuna vitu, watu, sehemu, au jambo ninaliwaza sana na nashindwa jinsi ya kufikia lengo hilo inaweza kuwa ni dalili mojawapo
Kulazimisha mambo ay matendo ili kufikia lengo, Ninaposhindwa kuchukuliana na jamabo la kawaida na kulamisha nifanye ninavyotaka mimi na kunisababishia maumivi ya akili mwali na nafsi pia ni dalili ya kuwa na maradhi ya kiraibu
Ubinafsi, endapo ninaharibikiwa na kila ninapoelezwa ninakataa ukweli kwamba nina tatizo mfano kuangalia mpira juda mrefu, kuchelewa kurudi nyumbani, kunywa pombe kupita kiasi na kutumia dawa za usingizi au za kulevya kama sehemu ya maisha yangu pia ianaweza kuwa ni dalili ya maradhi ya kiraibu
kushindwa kumili utumiaji wangu kama vile ngono, ulevi, kazi, fedha nakadhalia
Je nifanye Nini ili nijijue sasa lkwamba nimeathirika
Tunaweza kuwasiliana kwa simu
+255 713 806 726