Uraibu na nguvu ya kujua anapokuwa ugenini

Uraibu na nguvu ya kujua anapokuwa ugenini

BabaMorgan

JF-Expert Member
Joined
Dec 18, 2017
Posts
4,869
Reaction score
13,137
Nakumbuka kwenye mtaa wetu palikuwa na chimbo la dawa lakini jambo la kushangaza ni kuwa licha ya kukaa hapo kwa takribani miaka 5 sikuwahi kunotice chochote mpaka pale jamaa yangu ambaye ni complete stranger alipokuja kunisanua, kuwa dawa zinapatikana location fulani nilibaki nashangaa amepajuaje ili hali mi mwenyeji sipajui?!

That was long time ago, leo hii mimi ni mraibu wa ........... . Nikifika ugenini nitafanya juu chini kwa kutumia rasilimali nguvu na hata pesa just to know where I can get what makes me happy.

The truth is uraibu ni most powerful thing ever.
 
Huku kwetu utaona tu duka limeandikwa DAWA BARIDI,jua humo dawa zote za OTC(Over the Counter) zinapatikana mkuu.
 
Madawa ni punyeto iliyo changamka
JamiiForums1079179555.jpg
 
nakubaliana na ww mm mwenyewe ni mtumiaji wa ....... na nikifika ugenini huwa namsoma fasta mtumiaji mwenzangu na ninapata ndani ya muda mfupi kuliko hata kupata dili ya pesa uraibu sio jambo zuri japo kuna maeneo naweza fika na nisijishughulishe kutafta hiyo starehe yangu ila ninapoamua kuisaka simalizi nusu saa ugenini
 
Back
Top Bottom