Uraibu wa kamari za Kichina, mabonanza na pombe kali unazidi kumaliza watumishi wa umma. CCM ipo kimya

Uraibu wa kamari za Kichina, mabonanza na pombe kali unazidi kumaliza watumishi wa umma. CCM ipo kimya

Muuza Kangala

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2021
Posts
1,242
Reaction score
4,813
Walimu, madaktari na watumishi wa kila kada wanajimaliza kwa pombe kali na kucheza kamali za kichina maarufu kama bonanza.

Mishahara ikitoka ni kucheza makamali tu na kunywa pombe kali.

Wanasahau familia zao na kutoa matumizi.

CCM ipo kimya. Watumishi wanahitaji msaada wa kisaikolojia.
 
Walimu, madaktari na watumishi wa kila kada wanajimaliza kwa pombe kali na kucheza kamali za kichina maarufu kama bonanza.

Mishahara ikitoka ni kucheza makamali tu na kunywa pombe kali.

Wanasahau familia zao na kutoa matumizi.

CCM ipo kimya. Watumishi wanahitaji msaada wa kisaikolojia.
CCM watafanya Nini wakati miradi ya kamari ni ya kwao ni wachezaji kujiongeza na kujinasua katika balaa hili
 
Kuna Afisa kilimo aliajiriwa katika kijiji fulani,si unajua hawa jamaa hawanaga kazi sana na ofisi zao huwa zipo nyumbani anapoishi

Kutokana na kutokuwa na kazi ya kufanya,yeye akaona acheze makamali akihisi yanaweza kumuongezea kipato,alianza na mabonanza akawa anashinda nayo,alivyoona anapigwa sana akahamia kwenye kamali za mpira huko nako akawa ni wa kupigwa tu,unamkuta ana makaratasi kibao kama mwehu
 
Kuna Afisa kilimo aliajiriwa katika kijiji fulani,si unajua hawa jamaa hawanaga kazi sana na ofisi zao huwa zipo nyumbani anapoishi

Kutokana na kutokuwa na kazi ya kufanya,yeye akaona acheze makamali akihisi yanaweza kumuongezea kipato,alianza na mabonanza akawa anashinda nayo,alivyoona anapigwa sana akahamia kwenye kamali za mpira huko nako akawa ni wa kupigwa tu,unamkuta ana makaratasi kibao kama mwehu
Kilimo kwanza au kamari kwanza
 
Kuna Afisa kilimo aliajiriwa katika kijiji fulani,si unajua hawa jamaa hawanaga kazi sana na ofisi zao huwa zipo nyumbani anapoishi

Kutokana na kutokuwa na kazi ya kufanya,yeye akaona acheze makamali akihisi yanaweza kumuongezea kipato,alianza na mabonanza akawa anashinda nayo,alivyoona anapigwa sana akahamia kwenye kamali za mpira huko nako akawa ni wa kupigwa tu,unamkuta ana makaratasi kibao kama mwehu
"Makaratasi kibao kama mwehu "[emoji23]
 
Walimu, madaktari na watumishi wa kila kada wanajimaliza kwa pombe kali na kucheza kamali za kichina maarufu kama bonanza.

Mishahara ikitoka ni kucheza makamali tu na kunywa pombe kali.

Wanasahau familia zao na kutoa matumizi.

CCM ipo kimya. Watumishi wanahitaji msaada wa kisaikolojia.
Jamani CCM mmezidi kuiinea

Sent from my Infinix X693 using JamiiForums mobile app
 
Ila waafrika tunapenda kujiendekeza mambo ya kipumbavu yaani mtu mzima una jiita msomi una subiri CCM ije ikuelekeze ni namna gani ya kutunza familia?

Yaani hii ccm iliyo shindwa kutatua kero kama umeme na maji kwa miaka 60 ya uhuru ndo ije kuhangaika na saikorojia ya mtu aliye endekeza upumbavu.

Alafu kingine pombe na kamari mnavisingizia tu, kitu kinacho maliza hela za watz kwa sasa sio kwa wazee wala vijana ni uzinzi.

Hivi kijana anapokea mshahara wa 500,000 alafu wakati huo ana familia ya mke na watoto watatu lakini wakati huo huo ana michepuko mitatu unategemea nn zaidi ya kuitesa familia?
 
Kuna Afisa kilimo aliajiriwa katika kijiji fulani,si unajua hawa jamaa hawanaga kazi sana na ofisi zao huwa zipo nyumbani anapoishi

Kutokana na kutokuwa na kazi ya kufanya,yeye akaona acheze makamali akihisi yanaweza kumuongezea kipato,alianza na mabonanza akawa anashinda nayo,alivyoona anapigwa sana akahamia kwenye kamali za mpira huko nako akawa ni wa kupigwa tu,unamkuta ana makaratasi kibao kama mwehu
😂😂😂😂😂😂😂😂 Daaaah nimecheka sana...
 
Walimu, madaktari na watumishi wa kila kada wanajimaliza kwa pombe kali na kucheza kamali za kichina maarufu kama bonanza.

Mishahara ikitoka ni kucheza makamali tu na kunywa pombe kali.

Wanasahau familia zao na kutoa matumizi.

CCM ipo kimya. Watumishi wanahitaji msaada wa kisaikolojia.
Daaah mimi ni muathirika mmojawapo nashukuru niliwahi kujitoa
 
Serikali iko bize kukusanya Kodi tu hakika mataifa ya Afrika yamejaa viongozi myopic tu

"Ukitaka usisahaulike ugenini vunja chombo"
Mkuu kamari iko dunia nzima acheni upuuzi yaani mtu mzima unajiita msomi unafamilia nyumbani unasubiri CCM ikufundishe ni mamna gani ya kuishi?
 
Kuna Afisa kilimo aliajiriwa katika kijiji fulani,si unajua hawa jamaa hawanaga kazi sana na ofisi zao huwa zipo nyumbani anapoishi

Kutokana na kutokuwa na kazi ya kufanya,yeye akaona acheze makamali akihisi yanaweza kumuongezea kipato,alianza na mabonanza akawa anashinda nayo,alivyoona anapigwa sana akahamia kwenye kamali za mpira huko nako akawa ni wa kupigwa tu,unamkuta ana makaratasi kibao kama mwehu
Asije akauza pikipiki tuliyompa mwaka jana [emoji23][emoji23]
 
Walimu, madaktari na watumishi wa kila kada wanajimaliza kwa pombe kali na kucheza kamali za kichina maarufu kama bonanza.

Mishahara ikitoka ni kucheza makamali tu na kunywa pombe kali.

Wanasahau familia zao na kutoa matumizi.

CCM ipo kimya. Watumishi wanahitaji msaada wa kisaikolojia.
CCM hapa tunaionea
 
CCM watafanya Nini wakati miradi ya kamari ni ya kwao ni wachezaji kujiongeza na kujinasua katika balaa hili
Mtu akishakuwa addicted wa kucheza hizo kamari hawezi kujinasua mwenyewe ! Ile milio na rangi rangi zinazotokea kwenye mashine za kamari mtu anapozungusha zimeteñgenezwa kwa utaalamu wa hali ya juu wa kumfanya mchezaji awe teja wa hizo mashine !!
 
Back
Top Bottom