king suleman
JF-Expert Member
- Jun 28, 2014
- 1,749
- 1,149
Nna uhakika unaugua sio bure,Kikosi cha Membe kiko mafichoni. Wanafanya mambo yao kwa umakini mkubwa. 2020 Jiwe hana chake. Ni lazima arejee Chatou akalime viazi vitamu. Nchi haiwezi kuongozwa na kiongozi katili asiyejali utu kama huyu. Watanzania tumechoka kuonewa na huyu mporipori.
Hata siku mojaMembe ni Jasusi lililobobea, linaibuka mara moja linafanya operesheni, linapotea , linaibuka tena linapiga operesheni linapotea, mkija kustuka mwaka 2020 Chama kinamuweka Jiwe Pembeni, bendera anakamata Membe, mnabaki mnashangaa tu!
Huyu anaesema twende na membe ni chizi kabisa mijitu mengine ipo tu hapa duniani anamjua membe yeye au anamsikia tuHana lolote ni walewale tu yule mwingine alikuja kwa mbwembwe akatuacha na shida zetu kama kawaida
Huyu anaesema twende na membe ni chizi kabisa mijitu mengine ipo tu hapa duniani anamjua membe yeye au anamsikia tu
100% true, ila naongezea kidogo hapa....ya kwamba hawa wazee yaani Membe ,Lowassa na genge lake kwamba hii mbinu ya systems imeisha pitwa na wakati.kuandaliwa kupo kwa aina mbili
_system kukuandaa
-kuandaliwa katika ulimwengu wa roho...
Unaweza kuandaliwa na system lakini connection na rohoni kukakukataa hapo piga ua hautapita
unless otherwise itokee kitu "Fulani"
Membe na Mr lowassa wao walijiandaa ki system but katika ulimwengu wa roho walikataliwa.
Tunasubiri achukue form tu mwaka 2020, tumechoka utawala wa vitisho watanzania...Huyu mzee ukiisikiliza anavyojibu maswali kwenye mahojiano utagundua anatumia akili sana na ana karama za kiuongozi.
Ni mtu anayeifahamu dunia na exposure ya kutosha
Lakini pia Ni mtoto wa mjini Hana ushamba ushamba na ulimbukeni naona bado mawazo yake yanahitajika ili kuiletea Jamii kubwa maendeleo stahiki
hahaha wameanza kumtishia rais wetu na katibu wake.Hahaa " Mmeanza Tena !!! Kwa hiyo mna mwambiaje Katibu wenu mkuu !!?
Lakini msisahau kulipia Tangazo
Hawa watu sio watu wazuri" wanataka jiwe apate stroke kule alipo !!!? Maana ata deal na mangapi sasa !! Makada wa vyama pinzani bado wana mtoa roho ".. koro- show bado zinamtoa roho ".... then wanaibuka na hawa tena mbaya zaidi wanatoka ndani ya chama Wanaanza kuleta haya mapicha mapicha "........ ila kauli ya Katibu wao ya jana imeniacha hoi sanahahaha wameanza kumtishia rais wetu na katibu wake.
Huyu mzee ukiisikiliza anavyojibu maswali kwenye mahojiano utagundua anatumia akili sana na ana karama za kiuongozi.
Ni mtu anayeifahamu dunia na exposure ya kutosha
Lakini pia Ni mtoto wa mjini Hana ushamba ushamba na ulimbukeni naona bado mawazo yake yanahitajika ili kuiletea Jamii kubwa maendeleo stahiki